Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Nmekuwa nikimfuatilia huyu mzee toka ajitafutie cheo yanga...simwelewi kabisa. Naona kama amewekwa pale makusudi na watu flani kuivuruga yanga.
Toka aandike barua feki ya kuwa manji anarudi yanga nlimtoa thaman kabisa na kuona mzee mzima tena waziri anakuwa na ukilaza na utapeli.tunajua anatumika na watu flani kutuharibia yanga yetu.
Toka aandike barua feki ya kuwa manji anarudi yanga nlimtoa thaman kabisa na kuona mzee mzima tena waziri anakuwa na ukilaza na utapeli.tunajua anatumika na watu flani kutuharibia yanga yetu.