Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwako waziri
pole sana kwa kukaa benchi na kujua umuhimu wa uraia!!!
Pili napenda kukupa pole kwa kujitia aibu mwenyewe pamoja
na kuiimarisha sekta ya wanahabari pasipokujua:::
Najua wizara uliyopewa kwako ni kama umeingia choo cha kike
pamoja na proffession yako ya uanamgambo ukustaili kuongea upuuzi kama ule ukijaribu kutishia wanahabari kwa maneno yasiyofaa::tunapenda kukuakishia hakuna atakaeogopa hapo ni kama umewasha moto na hakuna atakaeogopa kusema ukweli
ungekuwa mstaarabu kama ungewaita wahariri wa gazeti la rai
ulioonyeshwa habari kama hiyo na mkamua kukaa kimya,naopenda kukwambia mzee wetu unazeeka vibaya na umejiaibisha sana kwa kusema waziri akuridhika,,na kuuliza kuna ambae aanaweza kuridhika au la zaidi yako:huu ni uhuni wa jeshini ambao utakiwi kutishia wanahabari kama uko lugalo,,una aamrisha wanamgambo wako::::::
Tatu
nakushauri ukiwa kama mstaarabu jirekebishe kwa maneno yako wakati ukiwa unawaita waandishi wa habari na jifunze kusema maneno ya hekima!!!!,
mwisho nawashauri wanahabari wote msiogope huu ni mwanzo tu jamani tusikate tamaa hakuna allie juu ya sheria
pole sana kwa kukaa benchi na kujua umuhimu wa uraia!!!
Pili napenda kukupa pole kwa kujitia aibu mwenyewe pamoja
na kuiimarisha sekta ya wanahabari pasipokujua:::
Najua wizara uliyopewa kwako ni kama umeingia choo cha kike
pamoja na proffession yako ya uanamgambo ukustaili kuongea upuuzi kama ule ukijaribu kutishia wanahabari kwa maneno yasiyofaa::tunapenda kukuakishia hakuna atakaeogopa hapo ni kama umewasha moto na hakuna atakaeogopa kusema ukweli
ungekuwa mstaarabu kama ungewaita wahariri wa gazeti la rai
ulioonyeshwa habari kama hiyo na mkamua kukaa kimya,naopenda kukwambia mzee wetu unazeeka vibaya na umejiaibisha sana kwa kusema waziri akuridhika,,na kuuliza kuna ambae aanaweza kuridhika au la zaidi yako:huu ni uhuni wa jeshini ambao utakiwi kutishia wanahabari kama uko lugalo,,una aamrisha wanamgambo wako::::::
Tatu
nakushauri ukiwa kama mstaarabu jirekebishe kwa maneno yako wakati ukiwa unawaita waandishi wa habari na jifunze kusema maneno ya hekima!!!!,
mwisho nawashauri wanahabari wote msiogope huu ni mwanzo tu jamani tusikate tamaa hakuna allie juu ya sheria