Mkude aliihujumu timu kwa kuchelewa ndege?

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Kwa nini alichelewa ndege?

Ushamba wa kutopanda ndege na kutokuzingatia mda?

Au ni hujuma kwa kushirikiana na watu wa njano?
 
Kwa nini alichelewa ndege?

Ushamba wa kutopanda ndege na kutokuzingatia mda?

Au ni hujuma kwa kushirikiana na watu wa njano?
Allaaaah ACHA BANA AKICHELEWA NDEGE IMNGOJE KISA SIMBA EEH..AISEE KUNA DEP

TIME .BOARDING TIME.NA COUNTER CLSN TIME
HIZI USIPOZIHESHIMU HATA AJE WAZIRI HAKUNAGA HIOO UTAPANDA NEXTY AVAILLABLE FLIGHT NAF...
 
Kwa nini alichelewa ndege?

Ushamba wa kutopanda ndege na kutokuzingatia mda?

Au ni hujuma kwa kushirikiana na watu wa njano?

Wabongo wamezaliwa na roho ya Fitna , uchonganishi na uzushi
Huyo kwa upande ule wa siasa ni pacha wako mkisapoti upumbavu . Sasa hata huku kwenye michezo naona uwezo wenu wa hovyo kabisa!!!

Simba ni timu tu ya kawaida, sema promo nyingi sana, na lazima wapoteze points ndio michezo ilivyo.
 
Huyo kwa upande ule wa siasa ni pacha wako mkisapoti upumbavu . Sasa hata huku kwenye michezo naona uwezo wenu wa hovyo kabisa!!!

Simba ni timu tu ya kawaida, sema promo nyingi sana, na lazima wapoteze points ndio michezo ilivyo.
Wee,koma kabisa!Mm ni CCM na Yanga damu!
 
Kwani timu haikuwa kambini kabla ya safari?!


Inakuwaje mchezaji anakuwa nje ya kambi mpk anachelewa ndege?hapo uongozi ndio una makosa wala sio mchezaji
 
Mmeanza kutafuta mchawi, Boko,Okwi na Kichuya wote si walikuwepo....
 
Nilijua tu, ile suluhu pacha 2-2 ya jana nilijua itazua jambo..

Mngefungwa jana sijui kama kungekuwa salama huko mitaa ya msimbazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Allaaaah ACHA BANA AKICHELEWA NDEGE IMNGOJE KISA SIMBA EEH..AISEE KUNA DEP

TIME .BOARDING TIME.NA COUNTER CLSN TIME
HIZI USIPOZIHESHIMU HATA AJE WAZIRI HAKUNAGA HIOO UTAPANDA NEXTY AVAILLABLE FLIGHT NAF...
Umesema waziri? Sio kwa Tanzania hii na ATCL yake
 
Sababu zimeanza kuwekwa sawa.
Yanga bingwa kama kawaida
 
droo ya jana simba ni matokeo ya kawaida tu kwenye mpira wala asitafutwe mchawi. inadroo barca au madrid sembuse simba? ukweli ni kuwa ligi bado ni ngumu sana na michezo bado mingi bingwa bado hajajulikan na hata anayeshuka bado sana kujulikana,

Ila kwa mkude inabidi yeye mwenyewe ajiangalie na hata simba imwangalie nyendo zake kwa jicho la pili. kwa takribani misimu miwili iliyopita amekuwa anasababisha figisufigsu kipindi hiki cha raundi pili na kuleta sintofahamu/mtafaruku klabuni na hatimaye kusababisha timu inakosa ubingwa. na hili viongozi waliliona ndio maana akaondolewa unahodha na hata kwenye usajili almanusra waachane naye. lakini kwa sasa simba ina viungo wengi wenye uwezo kama wake kwa hiyo sioni kama itakuwa tatizo kubwa sana kulinganisha na misimu miwili iliyopita.

Kiukweli mkude ni mchezaji mzuri lakini asipojiangalia nidhamu yake kwa viongozi, makocha na hata wachezaji wenzake atajikuta anaishia kucheza hapa bongo. Kucheza kimataifa inampasa mkude kuwa na nidhamu ya hali juu na kuachana na maringo. kama ana meneja amsaidie kwa hili akiliweza tu basi anaweza cheza kokote duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…