Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kati ya wachezaji wenye bahati ni mkude. Yaani wakati Simba wanamwona wa nini Yanga watamtaka lini
Dili ikatimia kijana anabeba makombe hivi sasa. Likewise ndugu yetu kaka yetu kisinda wa Berkane alikuja Yanga.
Kila mtu akaongea yakee baana imetoshasasaà arudi alipotoka.
Kisinda anacheza final ya shirikisho sijui lini haya ndio mafanikio yanahitajika kwa wachezaji.
Kazi kwenu Chamà sijui kiburi endeleen kungangania timu isiyo na mafanikio. Well done, mkude.
Dili ikatimia kijana anabeba makombe hivi sasa. Likewise ndugu yetu kaka yetu kisinda wa Berkane alikuja Yanga.
Kila mtu akaongea yakee baana imetoshasasaà arudi alipotoka.
Kisinda anacheza final ya shirikisho sijui lini haya ndio mafanikio yanahitajika kwa wachezaji.
Kazi kwenu Chamà sijui kiburi endeleen kungangania timu isiyo na mafanikio. Well done, mkude.