Nimeshamkalisha chini pia Demu wake Mmoja ( Goma lake ) aliyempangia Kawe jirani na 'Fensi' za Jeshini Lugalo apunguze mno kumpitisha "Dogo' barabara ya kwa Mpalange Yombo Buza.Kiungo mahiri wa Simba SC Jonas Mkude leo amerwjea mazoezini tayari kujiunga na wenzake kwa kambi ya Morocco.
Mchezaji huyo aliekuwa na kesi ya utovu wa nidhamu haijajulikana kama alisamehewa na uongozi wake au kesi yake bado inaendelea ambapo alitakiwa akapimwe hospitali kabla ya hukumu dhidi yake. View attachment 1886052
Mkude hajawahi kutuhumiwa kutumia madawa ya kulevya.Hivi sera ya tff kuhusu matumizi ya drugs kwa footballers ipo? Na kama ipo inasemaje? Imetekelezwa vipi?
Wapi nyieeee mkude hajaanza leo utata hamna cha kumfanya mnampa onyo siku mbili tatu anarudi anafanya tena yaleyale anajua hamuwezi kumfanya chochoteNimeshamkalisha chini pia Demu wake Mmoja ( Goma lake ) aliyempangia Kawe jirani na 'Fensi' za Jeshini Lugalo apunguze mno kumpitisha "Dogo' barabara ya kwa Mpalange Yombo Buza.