Kha baba umelonganimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi
sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,
naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
asante kwa kuliona hilo, hakika hatujawahi kumuona JK akiwakemea wanachama wanaofanya mambo yakipuuzi yakumtangaza kuwa mgombea pekee wakati kuna wanaCCM ambao wamejitangaza kugombea Urais 2010, wanawatisha, na kuna kampeni kubwa zinaendelea chini kwa chini juu ya kuzuia haki ya wanaCCM wengine kugombea, hakika mkuki kwa kunguruwe........Awaambie kwa kuwakaripia kina makamba, CHILIGATI waache kutisha wenzaonimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi
sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,
naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
Nyaniii utabiri ule wakuwa utakufa ghaflaa....aah jamani.Yeye hata asipopiga kampeni si imeshatabiriwa? so hana mpinzani.
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi
sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,
naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
Mbona sioni ulipoandika kwamba Kikwete anafanya kampeni . Mbona thread inaeleaelea tutachangia vipi sasa. Halafu facts hazipo kabisa kwenye hii thread au uko under 18; pengine uirekebishe hii thread au uifute kabisa inakuchoresha.
Aifute kivipi sasa? isome vizuri ndugu usidandie mshale.
kafanya jana kwa kutangaza atashinda ila hajui kwa asilimia ngapi ilhali hajateuliwa bado kuwa mgombea kwa tiketi ya CCMMbona sioni ulipoandika kwamba Kikwete anafanya kampeni . Mbona thread inaeleaelea tutachangia vipi sasa. Halafu facts hazipo kabisa kwenye hii thread au uko under 18; pengine uirekebishe hii thread au uifute kabisa inakuchoresha.
Nyani kwa kuogopa mishale! mwenzio mimi nadaka mishale. lakini bila kuwa na ajenda yako kichwani hii thread inahitaji marekebisho, imejichanganya mno. Anatakiwa aainishe mambo ili ieleweke tunachangia nini na kwa facts zipi.
Wewe basi utakuwa ni mtambo. kama umeshindwa kuoanisha heading ya thread na maelezo aliyoyaandika jamaa.na basi utakuwa ushasahau na kiswahili chenyewe .rudi nyumbani hata mara moja cio mnazamia tu huko,cheki hata methali ushazisahau.
Kikwete hagombei Chadema hivyo wewe mwana Chadema huna mamlaka ya kuhoji kampeni ya chama kisichokuhusu.Pilipili ipo shamba wewe yakuwashia nini?Au mmezoea udaku!nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi
sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,
naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
Mpaka leo nimeamini hakuna ninja anaweza kukwepa jiwe la Nyani. Unarusha kama hurushi vile.
Unapoandika thread lazima ujue wengine ni mitambo, sasa nyinyi mnaandikia ma-genius tu. Swali; Hao wanaojipendekeza kupiga kampeni ni kwamba wametumwa na kikwete? kuna facts?
Bila facts tutarusha mishale tukute kumbe tunapiga Nyani wetu bure. Na tatizo la Nyani ukimkosa hama mji.
NINJA
Kama angekuwa ajawatuma angewakataza kama anavyowakataza wenyeviti wa kata na wilaya lakini wakati makamba na guninita wanatoa hoja hiyo yeye alikuwepo pembeni akiendelea kutabasamu na mwisho wa hotuba ya makamba iliyomtangaza mgombea pekee walikumbatiana kwa furaha
Ndiyo maana amekataza[kistaarabu] maana muda wa shughuli hizo haujawadia.nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi
sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,
naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
kafanya jana kwa kutangaza atashinda ila hajui kwa asilimia ngapi ilhali hajateuliwa bado kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM