The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
"Anajua hili eneo halitakiwi kufanywa shughuli za kilimo"- Remidius Mwema, Mkuu wa Wilaya ya Kiteto
====
Mamlaka zilikuwa wapi mpaka mtu anaandaa shamba lenye ukubwa ambao hawezi kulianda kwa siku moja mpaka anapanda mahindi hadi yanaota ndiyo wanataka kuja kudhibiti, alikuwa akilima na kupanda usiku? viongozi wa eneo husika walikuwa hawajui mpaka wanafanya michezo ya kuviziana?
====
Mamlaka zilikuwa wapi mpaka mtu anaandaa shamba lenye ukubwa ambao hawezi kulianda kwa siku moja mpaka anapanda mahindi hadi yanaota ndiyo wanataka kuja kudhibiti, alikuwa akilima na kupanda usiku? viongozi wa eneo husika walikuwa hawajui mpaka wanafanya michezo ya kuviziana?