Hii nchi inaviongozi wasio na busara kabisa.
Huu ni unyanyasaji mkubwa kwa huyu mkulima, hadi anaandaa shamba na kupanda mazao yanaota sijui hata mtendaji wa kijiji hakuona??
Anyways, hapa DC alitakiwa kutumia busara ya kawaida kabisa kwamba huyo mkulima avune kisha asirudie tena kulima eneo hilo