Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Kuna kila viashirio kuwa mkullo na kaka yake wamekula mlungula wa waagizaji wa crude palm oil ...kwani mkakati wa maendeleo uliokuwapo ni kulinda wazalishaji wa ndani wanaotumia malighafi za ndani......kitendo cha kugeuka nyuma ghafla kinaonekana kina baraka za mkuu ....na ni kashirio kingine cha mlungula...lakini akumbuke yaliyowakuta kina kilotsi mpolongomnyi .....acha wale waliokula rushwa ya minofu ya saamaki....Safari hii wabunge mkimuacha MKULLO sintawaelewa........
Nina mashaka kama kweli mkullo ni mtoto wa mkulima anayejuwa kuwa alizeti inazalimwa tanzania...,hiyo palm hapa ndio mwake...,kigoma na kwingine...,tunasababu gani ya kutumia mafuta makapi toka india...tena yanaumiza miili yetu....
Nani hajuwi kuwa mbegu za pamba zinatoa mafuta safi ..na kwa kushuka kwa bei ya pamba angalau mbegu za pamba zingewatoa kifuta jasho wakulima kama zikipata bei nzuri....hivi kweli mkullo na kaka yake wamesoma uchumi wapi?????...kwa nini wanauwa uwezo wa ndani namna hiyo...hawa ni raia kweli ,ninayo mashaka????
Hiki kiwanda cha BIDCO mfano kipo hapa na uganda kipo ....lakini uliza ..walipoenda uganda museveni aliwapa sharti la kuanzisha viota vya kuzalisha palm na akawapa shamba kubwa la kuzalisha miwese [palm]..kwenye moja ya visiwa vya ziwa victoria na kwenye msitu mmoja...amewapa ardhi yote wanayohitaji kuanzisha ukulima wa palm kutosha kiwanda chao.........sisi hapa pamoja na kuwa na hilo ziwa hatujawahi kufikiria cha kuganya pale ukerewe..na visiwa lukuki...,kigoma ...etc na kote reli inafika!!
MUKULLO akwendere!!!!..iwe indiketa kwa wenzake mawaziri na kaka yake!!! Amekula ya mbuzi ..ataota mapembe[mikono yake inanuka rushwa ya waagizaji wa mafuta machafu ya kupikia ]
wabunge msikubali!!
Nina mashaka kama kweli mkullo ni mtoto wa mkulima anayejuwa kuwa alizeti inazalimwa tanzania...,hiyo palm hapa ndio mwake...,kigoma na kwingine...,tunasababu gani ya kutumia mafuta makapi toka india...tena yanaumiza miili yetu....
Nani hajuwi kuwa mbegu za pamba zinatoa mafuta safi ..na kwa kushuka kwa bei ya pamba angalau mbegu za pamba zingewatoa kifuta jasho wakulima kama zikipata bei nzuri....hivi kweli mkullo na kaka yake wamesoma uchumi wapi?????...kwa nini wanauwa uwezo wa ndani namna hiyo...hawa ni raia kweli ,ninayo mashaka????
Hiki kiwanda cha BIDCO mfano kipo hapa na uganda kipo ....lakini uliza ..walipoenda uganda museveni aliwapa sharti la kuanzisha viota vya kuzalisha palm na akawapa shamba kubwa la kuzalisha miwese [palm]..kwenye moja ya visiwa vya ziwa victoria na kwenye msitu mmoja...amewapa ardhi yote wanayohitaji kuanzisha ukulima wa palm kutosha kiwanda chao.........sisi hapa pamoja na kuwa na hilo ziwa hatujawahi kufikiria cha kuganya pale ukerewe..na visiwa lukuki...,kigoma ...etc na kote reli inafika!!
MUKULLO akwendere!!!!..iwe indiketa kwa wenzake mawaziri na kaka yake!!! Amekula ya mbuzi ..ataota mapembe[mikono yake inanuka rushwa ya waagizaji wa mafuta machafu ya kupikia ]
wabunge msikubali!!