wizi tu hapa hata hiyo chai wafanyakazi wa chini hawatakunywa........... hizo hela nizakusumbulia hapa mjini na fujo kibaooo. bt nyerere alisema!! "kama mnawaona ni wazuri basi wachukue ukanywe nao chai"
Akija Dr. Slaa aseme huu ni ufujaji wa mali za watanzania masikini, watu wanakuja juu na kusema anatafuta umaruufu wa kisiasa. HIvi aseme nini ndo tutajua anazungumza issue zinazotugusa sisi walala hoi. WAJINGA NDO WALIWAO