Mleta mada unaongea nini?
Mbona mimi makala nyingi za maarifa nazisoma Facebook? Au wewe hujaona makala za Technology, Dini, Forex huko Facebook?
Umemuona kashika kitabu anasoma na hujui kitabu kinahusu nini, Je ndani ya simu hakuna sites za vitabu vyenye madini mazuri?