wote wawili!
Kucha ndo zinapata raha!
mkunaji hupata braha zaid mpaka anaweza kupitiliza na kuvunja kucha.
Baada ya muda mkunaji awe
mkunwaji ..yaani wanabadilishana
kila baada ya muda...eeeeehhhhh
hapo ndo asali na sukari changanya
mmmmmmmhhhh
mmmh! acha utundu afrodenzi
Mkunaji ni yule anae husika na kukuna nazi..
Mkunwaji utakua umekosea kusikia ni mkuniwaji...
yaani mwenye hio nazi....lol