Code:Mkunaji ni yule anae husika na kukuna nazi.. Mkunwaji utakua umekosea kusikia ni mkuniwaji... yaani mwenye hio nazi....lol
Hebu jibu swali la msingi ni nani anafaidi?
Baada ya muda mkunaji awe
mkunwaji ..yaani wanabadilishana
kila baada ya muda...eeeeehhhhh
hapo ndo asali na sukari changanya
mmmmmmmhhhh
hahahaha... So typical with your quesions...
naona hua nakukwepa saana kujibu BUT
Raha ya mkuna apate mkunwa na raha
ya mkunwa apate mkunaji... kwanini swali nani anafaidi
hali woote wanahitajiana.. hapa zaidi inategemea na ujuzi wa both!
Inategemeana na utayari wa kila mmoja katika zoezi la ukunaji...! Hahahaha...Ndugu wapenzi wa JF, mimi siwezi kujiita mpenzi wa taarabu. Lakini mara moja moja huwa nikikaa nikasikiliza maneno matamu yaliyo katika muziki huu. Jana wakati nasikiliza miziki ya taarabu toka kwetu bongo, niliusikia wimbo wa mwanamama mmoja akitaka asaidiwe fumbo lifuatalo:- MKUNAJI NA MKUNWAJI NI NANI ANAYEPATA RAHA? Nawasilisha hapa wapenzi wa JF tumsaidie huyu mwanamama tafadhali
AD
:dance:
Mkunaji anapaswa awe na subira aache makeke ya kukimbilia kileleni akumbuke ya kuwa mvumilivu hula mbivu na ya kuwa...........it is not about him but about the other one................kwa hiyo ampelekeshe mwezie polepole hadi wafike KIBO na MAWENZI...................
Baada ya muda mkunaji awe
mkunwaji ..yaani wanabadilishana
kila baada ya muda...eeeeehhhhh
hapo ndo asali na sukari changanya
mmmmmmmhhhh
Baada ya muda mkunaji awe
mkunwaji ..yaani wanabadilishana
kila baada ya muda...eeeeehhhhh
hapo ndo asali na sukari changanya
mmmmmmmhhhh
To be Honest Hakuna raha yoyote sema akili na ubongo wetu wote tumeuelekeza Huko ...hata maneno yenyewe hayana maana.
MIMI SI ENJOY SANAAAA WAKATI WA KUKUNANA ILA NAENJOY SANAAA WAKATI NIMEKAA NA KUTULIA TUKI DO ROMANCE NA KUCHEZA CHEZA TU KUKUNANA SIO SANAAA AHAA YAANI NAENJOY KUWA KARIBU NAYE loh I love my wife!!
YEAH!!
LOH!!! with a strapon au!!!!balaaa
Kucha ndo zinapata raha!
Hahahahahaha
mmmmmhhhh we waonaje
nimekosea ????
wakunaji wanakuna tuu hawakunwi!kwa hiyo kubadilishana haitawezekana!ha ha ha!Baada ya muda mkunaji awe
mkunwaji ..yaani wanabadilishana
kila baada ya muda...eeeeehhhhh
hapo ndo asali na sukari changanya
mmmmmmmhhhh
Hujambo mpendwa
hahahahahahah hiyo
smile face uliyonipa imeniongezea
lisaa la kuishi mmmhhh santee BW
ntakutafuta asubuhi ni ku toe out
kwa breakfast uji wa ulezi na
mafuta ya samli hahhhah lol