Mkunaji na mkunwaji

Code:
Mkunaji ni yule anae husika na kukuna nazi..
Mkunwaji utakua umekosea kusikia ni mkuniwaji... 
yaani mwenye hio nazi....lol

Hebu jibu swali la msingi ni nani anafaidi?


hahahaha... So typical with your quesions...
naona hua nakukwepa saana kujibu BUT

Raha ya mkuna apate mkunwa na raha
ya mkunwa apate mkunaji... kwanini swali nani anafaidi
hali woote wanahitajiana.. hapa zaidi inategemea na ujuzi wa both!
 
Code:
hahahaha... So typical with your quesions...
naona hua nakukwepa saana kujibu BUT
 
Raha ya mkuna apate mkunwa na raha
ya mkunwa apate mkunaji... kwanini swali nani anafaidi
hali woote wanahitajiana.. hapa zaidi inategemea na ujuzi wa both!

umeufunga mjadala.....thank you for that..............it is mutual enjoyment................symbiotic association kind of................
 
Inategemeana na utayari wa kila mmoja katika zoezi la ukunaji...! Hahahaha...
 
Mkunaji anapaswa awe na subira aache makeke ya kukimbilia kileleni akumbuke ya kuwa mvumilivu hula mbivu na ya kuwa...........it is not about him but about the other one................kwa hiyo ampelekeshe mwezie polepole hadi wafike KIBO na MAWENZI...................
 


Maneno kuntu haya...lol..
 
Baada ya muda mkunaji awe
mkunwaji ..yaani wanabadilishana
kila baada ya muda...eeeeehhhhh
hapo ndo asali na sukari changanya
mmmmmmmhhhh

mhh...hii hapana thubutu! yani wageuzane maumbile? mambo ya strap-on au nini?
 

wewe utakuwa na matatizo kama ya matajiri wanaoishi kimasikini
 
Baada ya muda mkunaji awe
mkunwaji ..yaani wanabadilishana
kila baada ya muda...eeeeehhhhh
hapo ndo asali na sukari changanya
mmmmmmmhhhh
wakunaji wanakuna tuu hawakunwi!kwa hiyo kubadilishana haitawezekana!ha ha ha!
 
Jaman mkunwaji,chukulia mfano unawashw kipere ukikunw lazm uckie raha so mkunwaj
 
Code:
Hujambo mpendwa
hahahahahahah hiyo
smile face uliyonipa imeniongezea
lisaa la kuishi mmmhhh santee BW
ntakutafuta asubuhi ni ku toe out 
kwa breakfast uji wa ulezi na 
mafuta ya samli hahhhah lol
nami mimi je? msile pekee yenu mkaninyima vinono na mimi nina njaa.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…