Mkurugenzi aponea chupuchupu kuungua moto; gari la mamilioni lateketea

Mi swali langu liko pale pale tu mkuu! Hivi visa uwe unatuambia kilianza kipi kikafuata kipi! Ona sasa kama hapa hatujui kama walianza Tembo kifuani au majambazi 10 barabarani au hiace ya mkurugenzi. Unatupa wakati mgumu ku arrange hivi visa.
 
Mi swali langu liko pale pale tu mkuu! Hivi visa uwe unatuambia kilianza kipi kikafuata kipi! Ona sasa kama hapa hatujui kama walianza Tembo kifuani au majambazi 10 barabarani au hiace ya mkurugenzi. Unatupa wakati mgumu ku arrange hivi visa.
Mkuu, unataka kuvi arrange? Kulikoni?
 
Prayer is really important
 
We umesikia wapi kwamba watu wanapangiwa jinsi watakavyokufa? Vifo vingine husababishwa na Ibilisi kabisa. Hivyo maombi sio jambo la kupuuza.
 
Siku yako ilikuwa haijafika...hata hao waliopona au la kuna walioomba kabla ya hiyo safari....Dah inaonekana uliisikitika sana hiyo gari kuungua na kuteketea kuliko roho za hao abiria........
Una hakika?
 
Jamaa anajifanya eti hatokufa kwa sababu anaomba kila wakati
 
Unachembechembe za kidukulilo na don nalimison kwa pamoja. all in all MUNGU YU MWEMA
 
Yaani chai hii ndio ya kutoa machozi mtu hii?
 
Ungeamka hapohapo na kukianda mbona ungepanda Gari la kwanza kabla ya hilo la mamilioni lililoungua.
Kweli kabisa. Ila kwakuwa Mungu anajua yote yajayo alinizuia nisiondoke haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…