Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya Magu, usiwatetee na kuwalinda waalimu wasiokidhi vigezo vya Ualimu Mkuu; unawavunja moyo wanaostahili nafasi hizo

Mzee Uongozi si lazima uwazidi wote elimu
 
Wewe unataka Ualimu mkuu?
Rushwa zimekithiri katika vyeo vya ukuu wa Shule na Ualimu Mkuu:
Mfano: Halmashauri ya Serengeti Ili update cheo, sharti ujipendekeze kea Ghuzuye ambaye si Mkuu wa idara, ila mtaalamu wa fitina na majungu, anavaa makoti over size, kijana kama mzee
Mfano; Njau (mhuuni), Spriani(aliiba hela) akaamishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…