Mkurugenzi mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa amegoma kuja JF atufafanulie uhalali wa makatazo wanayofanyiwa wasafiri wa SGR

Mkurugenzi mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa amegoma kuja JF atufafanulie uhalali wa makatazo wanayofanyiwa wasafiri wa SGR

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Wasafiri wanaotumia treni ya SGR ya TRC wamekumbana na makatazo ya vitu ambavyo ni haki yao kutembea navyo, mfano maji ya kunywa na mfuko unaohalalishwa na Serikali! Tumejitahidi kumuita aje atupe ufafanuzi wa madhara ambayo TRC imeyaona ikiruhusu abiria waingie navyo kwenye treni yao tofauti na kwenye treni yao ya reli ya kati.

Kukataa kwake kunaonesha hatuthamini abiria tusio na majina zaidi ya kupokea nauli zetu pendwa, TRC ndio wenye majibu nao hawako tayari kukutana nasi, yote ni kheri.
 
Wasafiri wanaotumia treni ya SGR ya TRC wamekumbana na makatazo ya vitu ambavyo ni haki yao kutembea navyo, mfano maji ya kunywa na mfuko unaohalalishwa na serikali! Tumejitahidi kumuita aje atupe ufafanuzi wa madhara ambayo TRC imeyaona ikiruhusu abiria waingie navyo kwenye treni yao tofauti na kwenye treni yao ya reli ya kati.
Kukataa kwake kunaonesha hatuthamini abiria tusio na majina zaidi ya kupokea nauli zetu pendwa, TRC ndio wenye majibu nao hawako tayari kukutana nasi, yote ni kheri.
Maji ya kunywa yanauzwa buku tu sio kila kitu cha kulalamika
 
Wasafiri wanaotumia treni ya SGR ya TRC wamekumbana na makatazo ya vitu ambavyo ni haki yao kutembea navyo, mfano maji ya kunywa na mfuko unaohalalishwa na serikali! Tumejitahidi kumuita aje atupe ufafanuzi wa madhara ambayo TRC imeyaona ikiruhusu abiria waingie navyo kwenye treni yao tofauti na kwenye treni yao ya reli ya kati.
Kukataa kwake kunaonesha hatuthamini abiria tusio na majina zaidi ya kupokea nauli zetu pendwa, TRC ndio wenye majibu nao hawako tayari kukutana nasi, yote ni kheri.
Safari ya saa tatu makopo ya maji ya nini!?..hakuna huduma ya maji trenini!?
 
Wasafiri wanaotumia treni ya SGR ya TRC wamekumbana na makatazo ya vitu ambavyo ni haki yao kutembea navyo, mfano maji ya kunywa na mfuko unaohalalishwa na serikali! Tumejitahidi kumuita aje atupe ufafanuzi wa madhara ambayo TRC imeyaona ikiruhusu abiria waingie navyo kwenye treni yao tofauti na kwenye treni yao ya reli ya kati.
Kukataa kwake kunaonesha hatuthamini abiria tusio na majina zaidi ya kupokea nauli zetu pendwa, TRC ndio wenye majibu nao hawako tayari kukutana nasi, yote ni kheri.
Mods kichwa isomeke "kuja".
Nunua treni yako utabeba kila kitu ukipendacho🙂
 
Hilo suala l
Wasafiri wanaotumia treni ya SGR ya TRC wamekumbana na makatazo ya vitu ambavyo ni haki yao kutembea navyo, mfano maji ya kunywa na mfuko unaohalalishwa na serikali! Tumejitahidi kumuita aje atupe ufafanuzi wa madhara ambayo TRC imeyaona ikiruhusu abiria waingie navyo kwenye treni yao tofauti na kwenye treni yao ya reli ya kati.
Kukataa kwake kunaonesha hatuthamini abiria tusio na majina zaidi ya kupokea nauli zetu pendwa, TRC ndio wenye majibu nao hawako tayari kukutana nasi, yote ni kheri.
Mods kichwa isomeke "kuja".
inatakiwa lijibiwe na msemaji wa kampuni na siyo DG
 
Makatazo mengine yanastaajabisha sana. Mtu unamiliki silaha ya moto kisheria kabisa unataka kusafiri nayo ukifika station hakuna utaratibu wowote wa kukuwezesha kusafiri na silaha yako. Trc wekeni utaratibu kama airport ili tuweze kusafiri na silaha zetu mnatunyima uhuru wa kujilinda.
hili neno mkuu. wakafanye benchmarking pale airport jinsi abiria wanavyosafiri na silaha. utaratibu upo vizuri tu na rahisi ukitilia manani wana maeneo ya ukaguzi wa abiria wao.
 
Shida sio buku hata kama yangekuwa ni Bure. Swali je Yana athali Gani iwapo nikiingia nayo ya kwangu?
Zingatiq masharti usafiri mbona uko mwingi tu sio lazima upande SGR kapande huko kwingine .Hawajakulazimisha utumie usafiri wao

Usiposafiri wengine watasafiri kwenda zako huko

Walikuandikia barua kuwa lazima usafiri na SGR?
 
Shida sio buku hata kama yangekuwa ni Bure. Swali je Yana athali Gani iwapo nikiingia nayo ya kwangu?
Kwani lazima upande nayo? Kama huwezi kupanda bila maji kuna shida gani ukipanda basi? Umelazimishwa kupanda treni ya mwendokasi?

Wabongo tushawazoea malalamiko tu na kuleta uswahili wenu. Ndo mana mnachakaza miradi kwa ushamba wenu
 
Zingatiq masharti usafiri mbona uko mwingi tu sio lazima upande SGR kapande huko kwingine .Hawajakulazimisha utumie usafiri wao

Usiposafiri wengine watasafiri kwenda zako huko

Walikuandikia barua kuwa lazima usafiri na SGR?
Hiyo ni Kodi Yako/yangu Kuna haki ya kuhoji. Pia huwezi pangia mtu asafiri na usafiri Gani sgr hii sio ya mtu binafisi ni ya watanzania wote lazima tuelekezwe ni vipi hairuhusiwi na kwanini.
 
Kwani lazima upande nayo? Kama huwezi kupanda bila maji kuna shida gani ukipanda basi? Umelazimishwa kupanda treni ya mwendokasi?

Wabongo tushawazoea malalamiko tu na kuleta uswahili wenu. Ndo mana mnachakaza miradi kwa ushamba wenu
Kwahiyo mabasi yanachakazwa na watu kuingia na maji?😆😆
 
Shida sio buku hata kama yangekuwa ni Bure. Swali je Yana athali Gani iwapo nikiingia nayo ya kwangu?
Mkuu hao ndiyo ''watanzania halisi''. Wasipofanyiwa ushenzi ushenzi kwenye maisha wanaona kama kuna kitu wanakosa. Hili la kukataza watu kuingia na maji tunaweza kusema kabisa ni ukiukaji wa haki za binadamu na lengo lake kubwa ni kufanya wanaoweka maji kwenye treni wauze kwa wingi. Wanajua kabisa joto na jua litalazimisha watu kunywa maji na njia pekee ni kuzua wasiingie na maji ili wanunue ya ndani ambayo ni miradi yao.
 
Back
Top Bottom