Tetesi: Mkurugenzi Mpya Uhuru PB huyu hapa

Tetesi: Mkurugenzi Mpya Uhuru PB huyu hapa

Dindilimunyo

Senior Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
108
Reaction score
206
Masaa machache baada ya JPM kutembelea kwa ghafla kwenye vyombo vya habari vya CCM na kukukuta hali mbaya ya kiuendeshaji na madeni lukuki ya wafanyakazi.

Taarifa Zilizopatikana jion hii zisizo kuwa na shaka yoyote zinasema Mkurugenzi mpya Ameteuliwa na bado kutangazwa Jina la mkurugenzi huyo ni Muungano Saguya.

i. Inasemekana Saguya aliwahi kuwa msaidizi wa karibu wa JPM wakati akiwa waziri wa Ardhi.

Inadaiwa bado Yeye mwenyewe hajakubali kwasababu yupo Marekani kwa matibabu . Bila shaka rais anateua mtu ambae anamjua na hana shaka nae.

Tusubiri tuone.

[HASHTAG]#AnasemaNakutenda[/HASHTAG]
 
Duuuuh hii kali au ndio mnamdiscourage jpm asimtue huyu lumumba na uhuru yenu mna visa
 
Masaa machache baada ya JPM kutembelea kwa ghafla kwenye vyombo vya habari vya CCM na kukukuta hali mbaya ya kiuendeshaji na madeni lukuki ya wafanyakazi. Taarifa Zilizopatikana jion hii zisizo kuwa na shaka yoyote zinasema Mkurugenzi mpya Ameteuliwa na bado kutangazwa Jina la mkurugenzi huyo ni Muungano Saguya. i. Inasemekana Saguya aliwahi kuwa msaidizi wa karibu wa JPM wakati akiwa waziri wa Ardhi. Inadaiwa bado Yeye mwenyewe hajakubali kwasababu yupo Marekani kwa matibabu . Bila shaka rais anateua mtu ambae anamjua na hana shaka nae. Tusubiri tuone. [HASHTAG]#AnasemaNakutenda[/HASHTAG]
Matumbuzi yamehamia kwenye chama sasa
 
Duuuuh hii kali au ndio mnamdiscourage jpm asimtue huyu lumumba na uhuru yenu mna visa



Huwa mnawashwa na nini lakini? Huwezi kusubiri? Namna hii mnawaharibia wenzenu!

Hii ndio ilioupa umaarufu huu mtandao, hadi Na sie tukavutiwa Na kujiunga nao......Upeni heshima mtandao wetu pendwa JF.!

Mtoa mada yupo Sahihi kabisa...ndio maana kaanza Na neno Tetesi.!
 
Masaa machache baada ya JPM kutembelea kwa ghafla kwenye vyombo vya habari vya CCM na kukukuta hali mbaya ya kiuendeshaji na madeni lukuki ya wafanyakazi.

Taarifa Zilizopatikana jion hii zisizo kuwa na shaka yoyote zinasema Mkurugenzi mpya Ameteuliwa na bado kutangazwa Jina la mkurugenzi huyo ni Muungano Saguya.

i. Inasemekana Saguya aliwahi kuwa msaidizi wa karibu wa JPM wakati akiwa waziri wa Ardhi.

Inadaiwa bado Yeye mwenyewe hajakubali kwasababu yupo Marekani kwa matibabu . Bila shaka rais anateua mtu ambae anamjua na hana shaka nae.

Tusubiri tuone.

[HASHTAG]#AnasemaNakutenda[/HASHTAG]
Hata aje malaika gani , hawezi kuokoa vyombo vya habari ambavyo vimetengwa na umma , vyombo vya habari vya ccm havitakiwi na wananchi , gazeti la uhuru halitanunuliwa hata iweje ,

Ni kama bendi ya TOT , hata ipige bure sokoni kariakoo hakuna atakayehangaika .
 
Tetesi zitafanya mgonjwa azidiwe bure ohoo.
 
Hii nafasi ilikuwa inamfaa sana Pasco wetu wa JF na makamu wake awe ndugu Dr Billionaire King of all social medias Le chick magnet Papaa bilionee J.W.S Malecela.
 
Waache wafu wawazike wafu wenzao...

Nani atanunua gazeti la Uhuru au Mzalendo karne hii ya leo? Hata Magufuli mwenyewe akijiteua kuwa mkurugenzi hawezi kuokoa gazeti, anachotakiwa ni kuacha magazeti haya hawe chombo cha propaganda za chama na kukipa ruzuku, basi.
 
Hata aje malaika gani , hawezi kuokoa vyombo vya habari ambavyo vimetengwa na umma , vyombo vya habari vya ccm havitakiwi na wananchi , gazeti la uhuru halitanunuliwa hata iweje ,

Ni kama bendi ya TOT , hata ipige bure sokoni kariakoo hakuna atakayehangaika .
Nadhani hata viongozi wenyewe wa chama hawayasomi, siku moja aliletewa m/kiti mmoja wa chama wa mkoa gazeti la Uhuru mbele ya macho yangu alisonya akalitupa kwenye dust bin akabaki anasoma Mwananchi.
Waache wafu wawazike wafu wenzao...

Nani atanunua gazeti la Uhuru au Mzalendo karne hii ya leo? Hata Magufuli mwenyewe akijiteua kuwa mkurugenzi hawezi kuokoa gazeti, anachotakiwa ni kuacha magazeti haya hawe chombo cha propaganda za chama na kukipa ruzuku, basi.
 
Nadhani hata viongozi wenyewe wa chama hawayasomi, siku moja aliletewa m/kiti mmoja wa chama wa mkoa gazeti la Uhuru mbele ya macho yangu alisonya akalitupa kwenye dust bin akabaki anasoma Mwananchi.
Uongo mwingine unafaa kuitwa wa hadhi ya juu
 
Hata aje malaika gani , hawezi kuokoa vyombo vya habari ambavyo vimetengwa na umma , vyombo vya habari vya ccm havitakiwi na wananchi , gazeti la uhuru halitanunuliwa hata iweje ,

Ni kama bendi ya TOT , hata ipige bure sokoni kariakoo hakuna atakayehangaika .
Havitakiwi na wapinzani,ni sawa na mie ambae sijawahi kununua Tanzania daima
Uhuru linaandaliwa lianze kuandika habari hasi za upinzani,lakini za ukweli
 
Suala sio Mtu pale ni mfumo mzima na wanachokiandika! Labda ofisi za serikali tu ndio wanaagiza daily news na uhuru labda ama la hakuna anaesoma! Wangejipanga kuwapa ruzuku ibakie kuwa gazeti la propaganda la chama!
Masaa machache baada ya JPM kutembelea kwa ghafla kwenye vyombo vya habari vya CCM na kukukuta hali mbaya ya kiuendeshaji na madeni lukuki ya wafanyakazi.

Taarifa Zilizopatikana jion hii zisizo kuwa na shaka yoyote zinasema Mkurugenzi mpya Ameteuliwa na bado kutangazwa Jina la mkurugenzi huyo ni Muungano Saguya.

i. Inasemekana Saguya aliwahi kuwa msaidizi wa karibu wa JPM wakati akiwa waziri wa Ardhi.

Inadaiwa bado Yeye mwenyewe hajakubali kwasababu yupo Marekani kwa matibabu . Bila shaka rais anateua mtu ambae anamjua na hana shaka nae.

Tusubiri tuone.

[HASHTAG]#AnasemaNakutenda[/HASHTAG]
 
Nadhani hata viongozi wenyewe wa chama hawayasomi, siku moja aliletewa m/kiti mmoja wa chama wa mkoa gazeti la Uhuru mbele ya macho yangu alisonya akalitupa kwenye dust bin akabaki anasoma Mwananchi.
Ukiamua kujitoa fahamu na kuwa Mwehu ni sawa kwa sababu ni haki yako ya kimsingi kwa mujibu wa katiba. Ila usisahau kumeza dawa...kwa maana utulize makali ya ukichaa.
 
Back
Top Bottom