Unajua kwamba Tigo Tanzania ameinunua Zantel?[emoji23]
Hawa jamaa wamesha nishinda kabisakwa hiyo sasa Tigo wanaongoza kwa idadi ya wateja?
tofauti ya voda na tigo ilikuwa wateja laki nane tu...
malalmiko yako yapeleke Voda ili usaidiwe, GB 10 kuisha ndani ya nusu saa sisi tunakusaidiaje, wewe hujui matumizi yako yalivyo..?, nenda ukaoneshwe kilivotumika utapewa matumizi yako yote mpaka page ulizo visit, usiporidhika nenda TCRA, Ukishindwa huko nenda mahakamanihiki kiburi ndo kitawatoa million 60 mfanyakazi wa vodacom....... acheni kuiba bundle... hatujaongelea bei ya kifurushi tumeongelea kifurushi kuisha GB 10 ndani ya nusu saa.
Mie voda hata sinaga hamu nao kabisa, kuna siku nmenunua zangu MB 100 yaani hata dakika 10 sijui kama zilifika napewa notification et sign in with voda.. Yan jmn khaa siwaelewi hawa watu kwanza vifuruushi ghaali, Wamevibadilisha ovyoovyo tuu yan sijui wakoje mi nachukia kweli, NAIMISS VODA YA ZAMANI [emoji24]Aise me naona huyu MD mpya ni mbovu sana. Tangu aingie yeye ndo vifurushi tunaibiwa balaa, mimi personally nimeibiwa vifurushi nimelalamika wee hamna msaaada. Uozo starts from the top, mbona mwaka jana haikua hivi? Au ni mimi mwenyewe? Siku ya leo zimeenda 10GB ndani ya lisaaa sijui zimeishaje...nimeenda mpaka vodashop yani hamna msaada, yani siku nikikaa vizuri hii kesi naipeleka mahakamani nina hamu za million 60 za kumfungulia mamaa duka la nguo maana imekuwa kero sana...
Sasa umefura nini...usikute huyu ndo mwizi mwenyewemalalmiko yako yapeleke Voda ili usaidiwe, GB 10 kuisha ndani ya nusu saa sisi tunakusaidiaje, wewe hujui matumizi yako yalivyo..?, nenda ukaoneshwe kilivotumika utapewa matumizi yako yote mpaka page ulizo visit, usiporidhika nenda TCRA, Ukishindwa huko nenda mahakamani
Si uhame mama kwanini unatesekaMie voda hata sinaga hamu nao kabisa, kuna siku nmenunua zangu MB 100 yaani hata dakika 10 sijui kama zilifika napewa notification et sign in with voda.. Yan jmn khaa siwaelewi hawa watu kwanza vifuruushi ghaali, Wamevibadilisha ovyoovyo tuu yan sijui wakoje mi nachukia kweli, NAIMISS VODA YA ZAMANI [emoji24]
Unajua kwamba Tigo Tanzania ameinunua Zantel?[emoji23]
Yani ni Upuuzi mtu unaibiwa unaishia kulalamika tuu...!!Si uhame mama kwanini unateseka
toa taarifa policeSasa umefura nini...usikute huyu ndo mwizi mwenyewe
[emoji24] yani natamani sana ningeeza fanya hivo but tatzo sasa hyo ni official number [emoji24]Si uhame mama kwanini unateseka
tunalalamika ndio coz wanaweza kufanya modifications kutokana na malalamiko yetuYani ni Upuuzi mtu unaibiwa unaishia kulalamika tuu...!!
Nani kasemaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani voda wapate hasara kisa kukufurahisha wewe???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji33] Endelea kupambana ukiamini hivyoootunalalamika ndio coz wanaweza kufanya modifications kutokana na malalamiko yetu
Jaman, lakini na ww mbona ndo unazidi kuniongezea machungu[emoji24][emoji24]Nani kasemaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani voda wapate hasara kisa kukufurahisha wewe???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji33] Endelea kupambana ukiamini hivyooo
Okay... Iache iwe ni ya kupokea simu tu wakati huo sajili line ingine ya mtandao mwingine ndo Uwe unawapigia wateja na kuwasisitiza watumie zaidi hiyo namba mpya[emoji24] yani natamani sana ningeeza fanya hivo but tatzo sasa hyo ni official number [emoji24]
Wow asante kwa ushauri, wacha tu nifanye hivo maana the situation is worse kabisaOkay... Iache iwe ni ya kupokea simu tu wakati huo sajili line ingine ya mtandao mwingine ndo Uwe unawapigia wateja na kuwasisitiza watumie zaidi hiyo namba mpya