Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kwahiyo wamewapanga hawa waangalizi ili kujustify udhalimu wao! Mwakani hali itakuwa mbaya!
=====
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la FAOPA, Mtwara (Wadau wa masuala ya Demokrasia na Utawala Bora), Baltazar Komba amezungumzia mwenendo wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 akisema ufuatiliaji wao umebaini kuwa wananchi walishirikishwa ipasavyo hali iliyosaidia kuwepo kwa utulivu wakati wa utangazaji wa matokeo mara baada ya kumaliza kwa zoezi la upigaji kura hapo jana.
Kwahiyo wamewapanga hawa waangalizi ili kujustify udhalimu wao! Mwakani hali itakuwa mbaya!
=====
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la FAOPA, Mtwara (Wadau wa masuala ya Demokrasia na Utawala Bora), Baltazar Komba amezungumzia mwenendo wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 akisema ufuatiliaji wao umebaini kuwa wananchi walishirikishwa ipasavyo hali iliyosaidia kuwepo kwa utulivu wakati wa utangazaji wa matokeo mara baada ya kumaliza kwa zoezi la upigaji kura hapo jana.