Mkurugenzi Mtendaji wa Makete ashtakiwa kwa ubadhirifu wa Tsh. Milioni 17.4 za Uchaguzi Mkuu 2015

Mkurugenzi Mtendaji wa Makete ashtakiwa kwa ubadhirifu wa Tsh. Milioni 17.4 za Uchaguzi Mkuu 2015

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1687253932397.png

Watuhumiwa katika kesi hiyo ni William M. Makufwe ambaye kwasasa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa kushirikiana na Chrostopher M. Nyaki aliyekuwa Mweka Hazina wa Halmashauri ya Rungwe, Mbeya.

Katika hati ya Mashtaka, watuhumiwa hao pamoja Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Inter-Business, Christopher D. Mwakanyamale wanadaiwa Kula Njama, Kutumia Vibaya Mamlaka na Kufanya Ubadhirifu wa Fedha za Uchaguzi wa Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2025.

Hata hivyo, Makufwe ambaye ni DC wa Makete alikana mashtaka na kuachiwa kwa dhamana huku taratibu za kuwapata washtakiwa wengine zikiendelea. Shauri litarejea tena Mahakamani Julai 3, 2023 kwaajili kusikiliza maelezo ya awali.
 

Watuhumiwa katika kesi hiyo ni William M. Makufwe ambaye kwasasa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa kushirikiana na Chrostopher M. Nyaki aliyekuwa Mweka Hazina wa Halmashauri ya Rungwe, Mbeya.

Katika hati ya Mashtaka, watuhumiwa hao pamoja Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Inter-Business, Christopher D. Mwakanyamale wanadaiwa Kula Njama, Kutumia Vibaya Mamlaka na Kufanya Ubadhirifu wa Fedha za Uchaguzi wa Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2025.

Hata hivyo, Makufwe ambaye ni DC wa Makete alikana mashtaka na kuachiwa kwa dhamana huku taratibu za kuwapata washtakiwa wengine zikiendelea. Shauri litarejea tena Mahakamani Julai 3, 2023 kwaajili kusikiliza maelezo ya awali.
Ukiona mpaka wanafikia hatua hii tambua kwamba mgao haukwenda sawa. Waliopata mgao mdogo au kukosa kabisa wameamua kulibumbulua ili wakose wote.
Ni mtindo wa "wewe mwaga mboga na Mimi nimwage ugali, unguza picha, Mimi naunguza negative kabisa ili ngoma iwe droo".
 
Ukiona mpaka wanafikia hatua hii tambua kwamba mgao haukwenda sawa. Waliopata mgao mdogo au kukosa kabisa wameamua kulibumbulua ili wakose wote.
Ni mtindo wa "wewe mwaga mboga na Mimi nimwage ugali, unguza picha, Mimi naunguza negative kabisa ili ngoma iwe droo".
17 ndogo alikula pekee yake
 
Unakula pesa zinaisha halafu huna za kuendeshea kesi lazima wakufunge
 

Watuhumiwa katika kesi hiyo ni William M. Makufwe ambaye kwasasa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa kushirikiana na Chrostopher M. Nyaki aliyekuwa Mweka Hazina wa Halmashauri ya Rungwe, Mbeya.

Katika hati ya Mashtaka, watuhumiwa hao pamoja Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Inter-Business, Christopher D. Mwakanyamale wanadaiwa Kula Njama, Kutumia Vibaya Mamlaka na Kufanya Ubadhirifu wa Fedha za Uchaguzi wa Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2025.

Hata hivyo, Makufwe ambaye ni DC wa Makete alikana mashtaka na kuachiwa kwa dhamana huku taratibu za kuwapata washtakiwa wengine zikiendelea. Shauri litarejea tena Mahakamani Julai 3, 2023 kwaajili kusikiliza maelezo ya awali.
pesa za uchaguzi wa 2025 zimeshaanza kutolewa? Dp world wamewahisha hivi kuna nini?
 
Back
Top Bottom