Mkurugenzi Mtendaji wa Man United: Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%

Mkurugenzi Mtendaji wa Man United: Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
1725354666903.png

Mkurugenzi Mtendaji wa Manchester United Omar Berrada anasema kocha Erik ten Hag anaungwa mkono kikamilifu na klabu hiyo na ana amini kuwa ndiye kocha atakayewapa mafanikio ya muda mrefu.

"Tunafikiri Erik Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%".

United walimaliza katika nafasi ya nane kwenye Ligi Kuu msimu uliopita na kichapo cha 3-0 Jumapili kutoka kwa Liverpool kiliifanya kupoteza mara mbili katika mechi tatu za msimu huu, na kuwaacha katika nafasi ya 14.
 
Sie kindakindaki hatuna la kupinga tunamsapoti😂😂🤣🤣
 
Mechi ya
View attachment 3085670
Mtendaji Mkuu wa Manchester United Omar Berrada anasema kocha Erik ten Hag anaungwa mkono kikamilifu na klabu hiyo na ana amini kuwa ndiye kocha atakayewapa mafanikio ya muda mrefu.

"Tunafikiri Erik Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%".

United walimaliza katika nafasi ya nane kwenye Ligi ya Kuu msimu uliopita na kichapo cha 3-0 Jumapili kutoka kwa Liverpool kiliifanya kupoteza mara mbili katika mechi tatu za msimu huu, na kuwaacha katika nafasi ya 14.
View attachment 3085670
Mtendaji Mkuu wa Manchester United Omar Berrada anasema kocha Erik ten Hag anaungwa mkono kikamilifu na klabu hiyo na ana amini kuwa ndiye kocha atakayewapa mafanikio ya muda mrefu.

"Tunafikiri Erik Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%".

United walimaliza katika nafasi ya nane kwenye Ligi ya Kuu msimu uliopita na kichapo cha 3-0 Jumapili kutoka kwa Liverpool kiliifanya kupoteza mara mbili katika mechi tatu za msimu huu, na kuwaacha katika nafasi ya 14.
mechi ijayo ndy tutajua upepo inaweza ikabadlika mech ijayo atapo fungwa kaz ikawa 0% kwa upande wake
 
View attachment 3085670
Mkurugenzi Mtendaji wa Manchester United Omar Berrada anasema kocha Erik ten Hag anaungwa mkono kikamilifu na klabu hiyo na ana amini kuwa ndiye kocha atakayewapa mafanikio ya muda mrefu.

"Tunafikiri Erik Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%".

United walimaliza katika nafasi ya nane kwenye Ligi Kuu msimu uliopita na kichapo cha 3-0 Jumapili kutoka kwa Liverpool kiliifanya kupoteza mara mbili katika mechi tatu za msimu huu, na kuwaacha katika nafasi ya 14.
Those guys are patient. But i believe they’re right.
 
Back
Top Bottom