Mkurugenzi Mtendaji wa Man United: Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648

Mkurugenzi Mtendaji wa Manchester United Omar Berrada anasema kocha Erik ten Hag anaungwa mkono kikamilifu na klabu hiyo na ana amini kuwa ndiye kocha atakayewapa mafanikio ya muda mrefu.

"Tunafikiri Erik Ten Hag ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu kwa 100%".

United walimaliza katika nafasi ya nane kwenye Ligi Kuu msimu uliopita na kichapo cha 3-0 Jumapili kutoka kwa Liverpool kiliifanya kupoteza mara mbili katika mechi tatu za msimu huu, na kuwaacha katika nafasi ya 14.
 
Sie kindakindaki hatuna la kupinga tunamsapoti😂😂🤣🤣
 
Mechi ya mechi ijayo ndy tutajua upepo inaweza ikabadlika mech ijayo atapo fungwa kaz ikawa 0% kwa upande wake
 
Kama ni shabiki wa Makolo na Man U usipopata ugonjwa wa moyo mwaka huu basi hupati tena.
 
Those guys are patient. But i believe they’re right.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…