Mkurugenzi NHIF alikabidhi ofisi Agosti 9, Serikali ilikuwa imeshajipanga kuzuia maandaano ya BAVICHA?

Mkurugenzi NHIF alikabidhi ofisi Agosti 9, Serikali ilikuwa imeshajipanga kuzuia maandaano ya BAVICHA?

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Screenshot 2024-08-15 074601.png
Barua hii inaonesha kulikuwa maelezo ya Bernard H. Konga kuachia nafasi hiyo yametoka mapema, kama jamaa wa JF aliyesema teuzi zinakuja kutondoa kwenye reli kwenye suala la binti wa yombo na sekeseke la akina Lissu

Unafikiri nini kilitokea huko ndani mpaka mkeka ukachanika?

Soma Pia: Baada ya Bernard konga kamaliza muda wake kama mkurugemzi mkuu NHIF tunashauri na tutegemee nini tunapoelekea kupata DG mpya?

=======

Napenda kuwataarifu kuwa Bw. Bernard H. Konga (Mkurugenzi Mkuu) amemaliza mkataba wake wa ajira tarehe 08 Agosti, 2024. Kwa sasa Bi. Grace A. Temba anakaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu.

Kwa niaba ya watumishi wote, tunamshukuru Bw. Bernard H. Konga kwa utumishi na uongozi wake madhubuti kwa Mfuko na tunamtakia kila la heri katika maisha yake na majukumu mengine atakayopangiwa. Vilevile, tunamuombea Bi. Grace A. Temba kila la heri katika kipindi hiki anapoongoza Mfuko.
 
Sakata la NHIF na Aghakan, na watoa huduma binafsi limeishia wapi?
 
Sakata la NHIF na Aghakan, na watoa huduma binafsi limeishia wapi?
Jana nimesikia kwenye Radio Aghakan washea kubali kupokea wagonjwa kwa kadi ya NHIF ila bado kuna mazungumzo yanaendelea pembeni huko. wao wamesema wawasaidie wagonjwa ila NHIF bado wanajaribu kuwekana sawa.
 
Back
Top Bottom