Mkurugenzi TPDC abadili gia angani, asema hakuna uhaba wa mafuta nchini

..amesema tpdc hawana uwezo wa kuhifadhi mafuta.

..wanataka kujenga uwezo huo kufikia miezi 3 mpaka 6.
 
Sasa kama uwezo wetu wa kuhifadhi mafuta ni siku 15 tu, kwa vyovyote vile mafuta yaliyopo yanatosha si kwa zaidi ya siku 15, sasa mbona amesema kitu kilekile tena?
 
Basi alinukuliwa vibaya; hii inchi inaendeshwa kwa uongo na unafiki kwa asilimia 80. Ndo maana haiendelei
Kama anasema nchi inataka iongeze uwezo wa kuhifadhi mafuta kutoka siku 15 za sasa hadi siku 90 (miezi mitatu), kwahiyo mafuta yaliyopo nchini sasa hivi yanauwezo wa kututosha siku ngapi kulingana na uwezo wetu wa sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…