Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Niliamua kutembelea waifu kwa wiki kama 2 Dodoma nimegundua kitu fulani cha ajabu sana kwenye maegesho ya magari Dodoma.
1. ukiegesha gari, mtu anakuja kuscan namba ya gari, hata dakika chache hazijafika mwingine anafanya hivyo. nilipouliza mmoja akaniambia wanaweza kuscan 500 hadi 3000. nikajiuliza, control mechanism ni ipi? manake nilitegemea labda mtu mmoja akiscan 500 inakuwa ni kwa siku nzima, kumbe la, yeyote anayepita akijiskia anakuscan na kukupa deni. na hakwambii amekuwekea bei gani.
2. Wanaomba sana pesa. wanakuja dirishani kwako wanakwambia kama unataka wasiscan uwape walau jero. ukikataa (manake sisi wengine hatutoi rushwa ni dhambi), wanakwambia basi ngoja tuscan, na anaposcan anascan kwa bei ya juu as if unapaki siku au wiki nzima sijui, anafanya kwa hasira kwasababu umegoma kumnpa jero.
3. kwa nini msiweke utaratibu, zile mashine zenu akiscan zitoe risiti hapohapo, ili kujua kwa siku nimetozwa bei gani? manake kuna wengine kulingana na utakavyoelewana na mkaguzi unaweza ukalipa, wengine wanalipa watalipa 500 wengine 3000. just per day.
4. kuna siku mtasababisha ugomvi mkubwa sana na mtu asiyeelewa hili jambo kwa sabaub mnakera sana sana.
Mkurugenzi wa Jiji, fuatilia hili, ninakupa maelekezo, kama hautafuatilia hili yatakutokea puani.
1. ukiegesha gari, mtu anakuja kuscan namba ya gari, hata dakika chache hazijafika mwingine anafanya hivyo. nilipouliza mmoja akaniambia wanaweza kuscan 500 hadi 3000. nikajiuliza, control mechanism ni ipi? manake nilitegemea labda mtu mmoja akiscan 500 inakuwa ni kwa siku nzima, kumbe la, yeyote anayepita akijiskia anakuscan na kukupa deni. na hakwambii amekuwekea bei gani.
2. Wanaomba sana pesa. wanakuja dirishani kwako wanakwambia kama unataka wasiscan uwape walau jero. ukikataa (manake sisi wengine hatutoi rushwa ni dhambi), wanakwambia basi ngoja tuscan, na anaposcan anascan kwa bei ya juu as if unapaki siku au wiki nzima sijui, anafanya kwa hasira kwasababu umegoma kumnpa jero.
3. kwa nini msiweke utaratibu, zile mashine zenu akiscan zitoe risiti hapohapo, ili kujua kwa siku nimetozwa bei gani? manake kuna wengine kulingana na utakavyoelewana na mkaguzi unaweza ukalipa, wengine wanalipa watalipa 500 wengine 3000. just per day.
4. kuna siku mtasababisha ugomvi mkubwa sana na mtu asiyeelewa hili jambo kwa sabaub mnakera sana sana.
Mkurugenzi wa Jiji, fuatilia hili, ninakupa maelekezo, kama hautafuatilia hili yatakutokea puani.