Mkurugenzi wa Katarama anajua ameingia chaka na Irizar i6 zake dhidi ya Golden Dragon za Ally's Star kwenye VVIP

Mkurugenzi wa Katarama anajua ameingia chaka na Irizar i6 zake dhidi ya Golden Dragon za Ally's Star kwenye VVIP

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Ni mwezi wa pili sasa tangu mabasi ya Katarama yenye brand ya Scania Irizar i6 kuonekana South Africa yakija Tanzania.

Kwa muda mrefu mpaka sasa bado hayajafika Tanzania licha ya mapichapicha mengi kusambaa mitandaoni. Leo yanasemekana yameonekana border ya Zimbabwe na Zambia.

Kihalisi safari ya kutoka S.A mpaka TZ kwa basi inaweza kuchukua siku 4 tu Dar-Joburg.

Turudi kwenye mada. Hizi Irizar i6 za Katarama tangu waanze kutuonyesha picha zake hakuna picha yoyote ya interior kuonyesha kama zina ubora wa kuwa VVIP ukilinganisha na Golden Dragon za Ally's Star.

20240726_133826.jpg

20240726_132444.jpg


Kwa upande wa mfalme wa kanda ya ziwa, Ally's Star ambaye ana mabasi ya Golden Dragon kutoka China mara zote amekuwa akionyesha interior za mabasi yake.

Hii imefanya watu wakubaliane kuwa kibongobongo kulingana na sheria za LATRA mabasi hayo yanakidhi VVIP.

20240726_133241.jpg

20240703_204812.jpg
20240726_133708.jpg
20240703_205246.jpg

Ally's Star, ukweli ni kwamba Mchina katika interior decoration hana mpinzani

Hapa ndipo mkurugenzi wa Katarama, bwana Laurian anapoumiza kichwa atafanyaje kuwaaminisha abiria na wanazi wa hayo mabasi ambayo kwa nje yanaonekana yana mwonekano fulani kiaina lakini ndani hajayafikia Golden Dragon za Ally's Star upande wa VVIP.

Hizi ni baadhi ya comments za wadau kuhusu irizar i6 za Katarama:

Screenshot_20240726-133337_X.jpg
Screenshot_20240726-133409_X.jpg
Screenshot_20240726-133434_X.jpg


Acha tuone yakifika bongo, vita ni kali sana hii Ally's Star vs Katarama huko kanda ya ziwa.
 
Sasa utampangia mtu na mali yake,we kuwa mpole yakija utapanda basi uende kama hutayapenda pita vile.
Walio karibu na Mkurugenzi tunajua kinachomhangaisha

Imetumika nguvu nyingi kuyabrand ila mabasi yenyewe ndiyo yanawasaliti
 
Vijana wa Tanzania WAMECHOKA SANA kimawazo...
Mimi kwa Kweli wananichosha hawa vijana......hawawezi kukosoa wao wanadhihaki

Mtu tu From no where ,unaaandika Bonge la Uzi kumnanga Mtu mwingine anaelisha watu kibao + kuchangia kodi

Kuna mwingine huko kaandika sijui Azam za ukwaji sijui hazijai sijui Azam ajiangalie Sana, Ooohh sisi tushakustukia mara kuna mtu anaitwa sijui Jambo kaya
 
Vijana wa Tanzania WAMECHOKA SANA kimawazo...
Vijana wamepata ajira kupitia hizi kampuni kuna madereva, utingo, agents, hostess n.k

Kuna watu wanaamka asubuhi wanaaga wake na watoto zao kwenda kupiga mishe kwa Katarama n.k

This is business ukiona haikuhusu pita hivi. Branding ni sehemu ya business
 
Ni mwezi wa pili sasa tangu mabasi ya Katarama yenye brand ya Scania Irizar i6 kuonekana South Africa yakija Tanzania.

Kwa muda mrefu mpaka sasa bado hayajafika Tanzania licha ya mapichapicha mengi kusambaa mitandaoni. Leo yanasemekana yameonekana border ya Zimbabwe na Zambia.

Kihalisi safari ya kutoka S.A mpaka TZ kwa basi inaweza kuchukua siku 4 tu Dar-Joburg.

Turudi kwenye mada. Hizi Irizar i6 za Katarama tangu waanze kutuonyesha picha zake hakuna picha yoyote ya interior kuonyesha kama zina ubora wa kuwa VVIP ukilinganisha na Golden Dragon za Ally's Star.
View attachment 3052727
View attachment 3052728

Kwa upande wa mfalme wa kanda ya ziwa, Ally's Star ambaye ana mabasi ya Golden Dragon kutoka China mara zote amekuwa akionyesha interior za mabasi yake.

Hii imefanya watu wakubaliane kuwa kibongobongo kulingana na sheria za LATRA mabasi hayo yanakidhi VVIP.


View attachment 3052706


View attachment 3052715View attachment 3052710View attachment 3052713
Ally's Star, ukweli ni kwamba Mchina katika interior decoration hana mpinzani

Hapa ndipo mkurugenzi wa Katarama, bwana Laurian anapoumiza kichwa atafanyaje kuwaaminisha abiria na wanazi wa hayo mabasi ambayo kwa nje yanaonekana yana mwonekano fulani kiaina lakini ndani hajayafikia Golden Dragon za Ally's Star upande wa VVIP.

Hizi ni baadhi ya comments za wadau kuhusu irizar i6 za Katarama:

View attachment 3052723View attachment 3052724View attachment 3052725

Acha tuone yakifika bongo, vita ni kali sana hii Ally's Star vs Katarama huko kanda ya ziwa.
Shiida nini, unaanza zumgumzia u vip au ubora wa bus?? Scania ufananishe huo utopolo
 
Ally's Star VVIP, kazi kwenu Wasukuma upande Katarama seat ubao au Ally's la matajiri

 
Ni mwezi wa pili sasa tangu mabasi ya Katarama yenye brand ya Scania Irizar i6 kuonekana South Africa yakija Tanzania.

Kwa muda mrefu mpaka sasa bado hayajafika Tanzania licha ya mapichapicha mengi kusambaa mitandaoni. Leo yanasemekana yameonekana border ya Zimbabwe na Zambia.

Kihalisi safari ya kutoka S.A mpaka TZ kwa basi inaweza kuchukua siku 4 tu Dar-Joburg.

Turudi kwenye mada. Hizi Irizar i6 za Katarama tangu waanze kutuonyesha picha zake hakuna picha yoyote ya interior kuonyesha kama zina ubora wa kuwa VVIP ukilinganisha na Golden Dragon za Ally's Star.

View attachment 3052727
View attachment 3052728

Kwa upande wa mfalme wa kanda ya ziwa, Ally's Star ambaye ana mabasi ya Golden Dragon kutoka China mara zote amekuwa akionyesha interior za mabasi yake.

Hii imefanya watu wakubaliane kuwa kibongobongo kulingana na sheria za LATRA mabasi hayo yanakidhi VVIP.

View attachment 3052706
View attachment 3052715View attachment 3052710View attachment 3052713
Ally's Star, ukweli ni kwamba Mchina katika interior decoration hana mpinzani

Hapa ndipo mkurugenzi wa Katarama, bwana Laurian anapoumiza kichwa atafanyaje kuwaaminisha abiria na wanazi wa hayo mabasi ambayo kwa nje yanaonekana yana mwonekano fulani kiaina lakini ndani hajayafikia Golden Dragon za Ally's Star upande wa VVIP.

Hizi ni baadhi ya comments za wadau kuhusu irizar i6 za Katarama:

View attachment 3052723View attachment 3052724View attachment 3052725

Acha tuone yakifika bongo, vita ni kali sana hii Ally's Star vs Katarama huko kanda ya ziwa.
Wewe ally Mbona choo yako ndogo sana abiria mnene ataenea hapo ?
 
Back
Top Bottom