Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke aache kutisha na kufedhehesha Waandishi wa Habari

Ni mpumbavu amelewa madaraka na ndivyo ccm inavyowalea watendaji wa serikali wana jeuri vituko vitisho rejea ndungai mahanga dpp sasa huyo mwakibibi uko kwenye ofisi ya umma unalishwa kwa kodi za wananchi including huyo mwandishi harafu anasema hana hadhi amuambia Joyce Mhaville mpigie stupid madingo
 
Ni mpumbavu amelewa madaraka na ndivyo ccm inavyowalea watendaji wa serikali wana jeuri vituko vitisho rejea ndungai maganga dpp sasa huyo mwakibibi uko kwenye ofisi ya umma unalishwa kwa kodi za wananchi including huyo mwandishi harafu anasema hana hadhi amuambia Joyce Mhaville mpigie stupid madingo
 
Bado wengine hawajakunjua makucha...
Nidhamu ya woga iliyovitawala vyombo vya habari ndio zao la haya matukio...
 
Kwanza huyo Mwandishi wa Habari ana Diploma kama sheria inavyotaka au nayeye ni Fom Foo Feriaaa! Huyo mwandishi uchwara anatafuta Kick tu hapa Mjini, kwanj huyo DED ndiye wa kwanza kumjibu mbovu.
Acheni upumbavu mnaoshabikia Wenzenu kuharibikiwa kazini, Roho mbaya na Umaskini unatusumbua hatuna lolote sura zetu kama roho zetu, kuna watu wanatoka mishipa nyuma ya Keybod ili tu Lusubilo atumbuliwe. Tumegeuka kuwa mijitu michawi ya roho, kutwa kucha kuombeana Njaa na dua mbayaa tu. Juzi tu Walimu wamepewa ajira nyuzi za chuki na kuharibiana kazi zilitawala Utadhan waliopewa ajira ni Wazulu wa SA kumbe watoto wa Kitanzania. Mama..eee zenu punguzeni Uchawi, Maisha yako hayaji kuwa mazuri kisa tu Unapambana kumshusha Fulani roho yako isuuuzike. Tufanye kazi, tuache majungu na Roho za kichawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…