Mkurugenzi wa MUWSA anaonea wafanyakazi na hana sifa za Cheo chake

Mkurugenzi wa MUWSA anaonea wafanyakazi na hana sifa za Cheo chake

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Waziri wa Maji, lazima ujue nafasi ya ukurugenzi ni nafasi nyeti na Ina sifa zake zinazotolewa kiutumishi. Mkurugenzi wa Moshi MUWSA (mamlaka ya maji) Hana sifa Wala weledi wa kushika nafasi Ile, na amekuwa kero hata Kwa wafanyakazi wa ndani ya mamlaka , amekuwa muonevu na mtu namba moja kuvunja taratibu za kiutumishi na kufukuza watu kazi, kisa anajua hakuna wa kumgusa kwakuwa ni mtu wa Aweso.

Nakuasa waziri chunguza Mkurugenzi huyu na usikie mengi kwake yasiyofaa, hasa ya uonevu. Hatuwezi kuwa na viongozi miungu watu
 
Wapigaji ni wengiiiii mno uko MUWSA (mamlaka ya maji).
Aweso naye anaonyesha ,kushirikiana nao kwenye upigaji,kwani akisikia kilio hiko hashughuliki nao.
 
Hivi kwa nini hizi mamlaka za maji huduma zake bado ni mbovu na zinazidi kuharibika

je hawa wakurugenzi wa hizo mamlaka za maji hawana vigezo vya uongozi au hizo kazi wanapewa kwa kujuana?

nimetembea baadhi ya mikoa naona hali ni hiyo hiyo kama vile wameambizana watukomeshe
 
Back
Top Bottom