Suley2019 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2019 Posts 2,203 Reaction score 5,610 Jul 14, 2020 #1 Dkt. Godfrey Simbeye amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Mbozi katika ofisi za CCM Mbozi na amekabidhiwa fomu hiyo na katibu wa CCM Wilaya Julius Mbwiga.
Dkt. Godfrey Simbeye amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Mbozi katika ofisi za CCM Mbozi na amekabidhiwa fomu hiyo na katibu wa CCM Wilaya Julius Mbwiga.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Jul 14, 2020 #2 Mwaka Huu Tutaona Mengi Sana
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Jul 14, 2020 #3 Simbeye anajidhalilisha.
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Jul 14, 2020 #4 Udokta kauoata lini? Mbozi kujaa viwanda tupu.
J jigwam JF-Expert Member Joined Jul 5, 2014 Posts 676 Reaction score 557 Jul 14, 2020 #5 Amejidhalilisha kwa lipi sasa? Mbona Mo Dewji alikuwa mbunge Singida Mjini na ni tajiri kuliko Simbeye
Amejidhalilisha kwa lipi sasa? Mbona Mo Dewji alikuwa mbunge Singida Mjini na ni tajiri kuliko Simbeye
babumapunda JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,643 Reaction score 3,301 Jul 14, 2020 #6 amepata udr lini huyu mzee
mng'ato JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 29,200 Reaction score 49,076 Jul 14, 2020 #7 Huu uchaguzi utafunua mambo mengi sana.
Victoire JF-Expert Member Joined Jul 4, 2008 Posts 24,386 Reaction score 57,588 Jul 14, 2020 #8 fazili said: Simbeye anajidhalilisha. Click to expand... Ni haki yake ana uhuru wa kugombea. Wewe kama hauwezi usimwambie mwenzako anajidhalilisha.
fazili said: Simbeye anajidhalilisha. Click to expand... Ni haki yake ana uhuru wa kugombea. Wewe kama hauwezi usimwambie mwenzako anajidhalilisha.
Mzee Wa Republican JF-Expert Member Joined Jul 20, 2013 Posts 1,666 Reaction score 847 Jul 14, 2020 #9 Hongera mzee Simbeye japokuwa kwangu binafsi sijajua ajenda yako mpaka sasa
monopoly inc JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 5,256 Reaction score 11,377 Jul 14, 2020 #10 Kwamba anataka kumtoa PASCAL HAONGA au sio