Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mkurugenzi wa upepelezi wa Makosa ya jinai (DCI Robert Manumba) astaafu ...!!
Jeshi la Polisi nchini linapenda kuutaarifu umma kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) Robert Manumba amefikia umri wa kustaafu kisheria ambao ni miaka sitini (60) katika utendani wake wa kazi.
Aidha, katika utumishi wake ndani ya Jeshi la Polisi amefanya kazi katika nyadhifa mbalimbali zikiwemo Chumba cha kupokea mashtaka kuanzia mwaka (1976 1977), mwendesha mashtaka
wilaya ya Kibondo na Kasulu mkoani Kigoma, 1977 1984), Mkufunzi katika chuo cha polisi Dar es salaam, (1984 1987), Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Magomeni na Kinondoni na Naibu Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Dar es salaam (1987 1993),
Pia, amewahi kuwa Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Arusha, ( 1993 1995), Mkufunzi mkuu wa Chuo Cha Polisi Moshi ( 1995 1996), Mkuu wa kitengo cha Fraud makao makuu ya upelelezi,
(1996 1997), Mkuu wa kitengo cha usalama wa nchi, intelijensia na madawa ya kulevya makao makuu ya upelelezi (1997 2001) na kuwa msaidizi wa mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini (2001 2006). Kuanzia mwaka 2006 hadi anastaafu, alikua Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini.
Aidha, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Said Mwema, amemshukuru na kumpongeza (DCI) Manumba anayestaafu kwa kulitumikia taifa katika nyadhifa mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi kwa
weledi na uwaminifu mkubwa wakati wote alipokuwa mtumishi ndani ya Jeshi la Polisi.
Pia, amemtaka kuendelea kuwa msaada kwa Jeshi la Polisi kwa kutoa ushirikiano wa namna yoyote ile unaoweza kusaidia kupunguza uhalifu hapa nchini kwasababu suala la usalama ni
taaluma kama zilivyo taaluma zingine, na taaluma hiyo wanayo watu wachache.
Hata hivyo, wakati tataratibu wa uteuzi wa mkurugenzi wa upulelezi ukiendelea, mkuu wa ufuatiliaji na tathimini CID makao makuu, kamishina Isaya Mungulu, atakua akikaimu nafasi hiyo
Mkurugenzi wa upepelezi wa Makosa ya jinai ( DCI Robert Manumba ) astaafu ...Mungulu ateuliwa kukaimu kwa muda. - MPEKUZI
Jeshi la Polisi nchini linapenda kuutaarifu umma kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) Robert Manumba amefikia umri wa kustaafu kisheria ambao ni miaka sitini (60) katika utendani wake wa kazi.
Aidha, katika utumishi wake ndani ya Jeshi la Polisi amefanya kazi katika nyadhifa mbalimbali zikiwemo Chumba cha kupokea mashtaka kuanzia mwaka (1976 1977), mwendesha mashtaka
wilaya ya Kibondo na Kasulu mkoani Kigoma, 1977 1984), Mkufunzi katika chuo cha polisi Dar es salaam, (1984 1987), Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Magomeni na Kinondoni na Naibu Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Dar es salaam (1987 1993),
Pia, amewahi kuwa Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Arusha, ( 1993 1995), Mkufunzi mkuu wa Chuo Cha Polisi Moshi ( 1995 1996), Mkuu wa kitengo cha Fraud makao makuu ya upelelezi,
(1996 1997), Mkuu wa kitengo cha usalama wa nchi, intelijensia na madawa ya kulevya makao makuu ya upelelezi (1997 2001) na kuwa msaidizi wa mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini (2001 2006). Kuanzia mwaka 2006 hadi anastaafu, alikua Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini.
Aidha, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Said Mwema, amemshukuru na kumpongeza (DCI) Manumba anayestaafu kwa kulitumikia taifa katika nyadhifa mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi kwa
weledi na uwaminifu mkubwa wakati wote alipokuwa mtumishi ndani ya Jeshi la Polisi.
Pia, amemtaka kuendelea kuwa msaada kwa Jeshi la Polisi kwa kutoa ushirikiano wa namna yoyote ile unaoweza kusaidia kupunguza uhalifu hapa nchini kwasababu suala la usalama ni
taaluma kama zilivyo taaluma zingine, na taaluma hiyo wanayo watu wachache.
Hata hivyo, wakati tataratibu wa uteuzi wa mkurugenzi wa upulelezi ukiendelea, mkuu wa ufuatiliaji na tathimini CID makao makuu, kamishina Isaya Mungulu, atakua akikaimu nafasi hiyo
Mkurugenzi wa upepelezi wa Makosa ya jinai ( DCI Robert Manumba ) astaafu ...Mungulu ateuliwa kukaimu kwa muda. - MPEKUZI
