Mkurugenzi wa VODACOM, TIGO, ZANTEL, TTCL, AIRTEL pitieni hapa, huwenda kukawa kuna faida kwenu

Ndo ujifunze sasa kuwa kufuatilia mambo yasiyokuhusu ni dalili za umbea
"Ukimwona mnyama anazunguka palepale tu kwenye eneo lake la machungo kula majani wala hata haondoki kwenda sehemu nyingine, bila shaka kuna moja kati ya mawili: Ama amefungwa kamba shingoni na wenyewe wenye mali yao au "amefungwa komba akili" na wenyewe wenye mila yao."~ Anonymous
 
A na B yanaweza kuwa majibu sahihi. Inategemea na akili ya mmiliki, au/na akili ya aliyetafsiri dhana hiyo.
 
Lipa kwa uthibitisho kisha atatuma pesa taslim TSH 500,000/=
Muuzaji
, nayeye atapokea muamala wa TSH 5000000/=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…