ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Washington
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia WB Kanda ya Afrika Dr.Zarau Kibwe amesema wao Benki ya Dunia Wanaitambua Tanzania Kama Nchi inayoendeshwa Kwa Ufanisi zaidi barani Afrika.
Bwana Kibwe amesema tangu kuingia Madarakani Kwa Rais Samia hadhi ya Tanzania Kimataifa imeongezeka na ndio maana wao World Bank Wameiongezea Tanzania Fursa ya kutumia mikopo ya riba nafuu kutoka Dola Bilioni 5 Hadi Dola Bilioni 12 ambapo mda wowote Tanzania ikihitaji Itaweza kupata Fedha hizo ,vigezo na masharti kuzingatiwa.👇👇
View: https://x.com/CloudsMediaLive/status/1900191369848635658?t=27_C3F9oWS9IvtqX-J6pYg&s=19
My Take
Samia anatikisa Anga la Kimataifa.Ni Moja ya Viongozi wa Afrika wanaoheshimika sana Kwa uhodari wake wa kusimamia na kuleta Mageuzi ya Uchumi WB: Uchumi wa Tanzania (GDP) Umeongezeka na kufikia $ 80 Bilioni mwaka 2023.
Dr.Mwigulu ni Moja ya Mawaziri wa Fedha wenye Heshima na kuaminika .
Hongera zao,ila kama kawaida nabii Huwa hakubaliki nyumbani.
Kazi na Utu tunasonga mbele na Samia ,mama mi 5 tena.
View: https://www.instagram.com/p/DHJQCrBqeOG/?igsh=MTRnYWU2eXNoZHBmcg==
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia WB Kanda ya Afrika Dr.Zarau Kibwe amesema wao Benki ya Dunia Wanaitambua Tanzania Kama Nchi inayoendeshwa Kwa Ufanisi zaidi barani Afrika.
Bwana Kibwe amesema tangu kuingia Madarakani Kwa Rais Samia hadhi ya Tanzania Kimataifa imeongezeka na ndio maana wao World Bank Wameiongezea Tanzania Fursa ya kutumia mikopo ya riba nafuu kutoka Dola Bilioni 5 Hadi Dola Bilioni 12 ambapo mda wowote Tanzania ikihitaji Itaweza kupata Fedha hizo ,vigezo na masharti kuzingatiwa.👇👇
View: https://x.com/CloudsMediaLive/status/1900191369848635658?t=27_C3F9oWS9IvtqX-J6pYg&s=19
My Take
Samia anatikisa Anga la Kimataifa.Ni Moja ya Viongozi wa Afrika wanaoheshimika sana Kwa uhodari wake wa kusimamia na kuleta Mageuzi ya Uchumi WB: Uchumi wa Tanzania (GDP) Umeongezeka na kufikia $ 80 Bilioni mwaka 2023.
Dr.Mwigulu ni Moja ya Mawaziri wa Fedha wenye Heshima na kuaminika .
Hongera zao,ila kama kawaida nabii Huwa hakubaliki nyumbani.
Kazi na Utu tunasonga mbele na Samia ,mama mi 5 tena.
View: https://www.instagram.com/p/DHJQCrBqeOG/?igsh=MTRnYWU2eXNoZHBmcg==