Mkusanyiko wa vitabu vya seal team six epubs

Mkusanyiko wa vitabu vya seal team six epubs

Dive

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
895
Reaction score
1,489
SEAL (Sea Air Land) Team Six ni kikosi maalum cha Marekani katika kupambana na majanga ya kipekee. SEAL team Six hupitia mafunzo magumu mno, hapa naweka vitabu vya kuhusu Seal Team Six. NAONA JF HAIKUBALI MATERIAL YA extension ya EPUB. Mkuu Invisible na Maxence Melo tuongezeeni hii kwenye JF . yetu.
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
cover.jpg
 

Attachments

Ingia mtandaoni kuna sites zinazo badili epub kwenda PDF kisha uje uvipakie humu
Ngoja nifanye hivyo. Leo nimeshavibadili kuwa PDF kupitia software sio sites na nimepakia karibuni tusome.
 
Wee jamaa ww acha majibu ya kidemu.
Mkuu thamahani thana mkuu, yaani nina utamu siyo? sema ukweli mbona huwa unalia bila kupigwa au hujawahi palilia pale mahala!. avatar yangu unaionaje kwani. haya bana, mshindi wewe ila umenifurahisha kuwa unataka kupakua,ili usome. ni kazi kubwa sana mkuu ku concetrate pale uondoke na kitu hutaonekana humu mwezi capacity hiyo unayo? nilidhani umeshaanza ila kwa sababu umeonekana humu aaah hkn kitu. mimi niko ukurasa wa 72, ndo maana nimechelewa kurespond kwako ila naweza kukusaidia tuanze
 
Unaonaje ukatafsiri kwa lugha yetu ili na wengine tupate huo uhondo
Sina haki navyo (copyright) naomba tujifunze lugha tusome au tafuta mtu anayejua lugha ya Kiingereza msome chapter (sura) baada ya chapter.
 
Mkuu thamahani thana mkuu, yaani nina utamu siyo? sema ukweli mbona huwa unalia bila kupigwa au hujawahi palilia pale mahala!. avatar yangu unaionaje kwani. haya bana, mshindi wewe ila umenifurahisha kuwa unataka kupakua,ili usome. ni kazi kubwa sana mkuu ku concetrate pale uondoke na kitu hutaonekana humu mwezi capacity hiyo unayo? nilidhani umeshaanza ila kwa sababu umeonekana humu aaah hkn kitu. mimi niko ukurasa wa 72, ndo maana nimechelewa kurespond kwako ila naweza kukusaidia tuanze
Ww dume kwani demu ww c wazee wa kupiga viwiko makolo nyie..tulia nikupe pilipili.
 
Back
Top Bottom