Mkutano kuhusu malaria mjini Nairobi Kenya

Mkutano kuhusu malaria mjini Nairobi Kenya

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,253
Reaction score
11,626
Kuna mkutano mkubwa unaojumuisha watu kutoka pembe zote za dunia wanaoshughulika na utafiti na pia mapambano dhidi ya malaria mjini Nairobi, Kenya. Umefunguliwa juzi Jpili jioni na Makamu wa Rais wa Kenya, Kalonzo Musyoka. Kwa habari zaidi tembelea tovuti hii http://www.mimalaria.org/pamc/.
 
Back
Top Bottom