Igweee nimekaa na kuwaza sana nakusoma comment za waja nyingi sana ila jambo nimekuja kugunduwa JK ana akili sana tena sio wakumchukua poa. JK ni mwanajeshi mstaafu nje ya Urais na anakumbuka kiapo chake na hataki shari Mzee watu anataka kula bata nakufurahia mstaafu wake.
Kwa wale mnamkubuka JK akiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano mnamkubuka kama mzee wa akili ya kuambiwa changanya na zako. Kiufupi kama watanzania na chama cha CCM wangesikiliza mashauri yake mengi na reforms alitamani kuzifanya na wakati mwingine tuka mnamga mtakubaliana na mimi Mwamba hataki kuyarudia matapishi.
Maana alipo sema tumtoe baraba ama tumsulubu Yesu mlipiga na tarumbeta mkisema asulubiwe na baraba aachiwe... mkaenda mbali na kusema dam yake iwe juu yetu na watoto wetu. Leo mnataka mtupia lawama kwanini alitoa ushauri wa jinsi ya kumpa 5 tena mama...
Kiukweli anatushangaa na kutung'ong'a maana anatukumbusha kauli yake ya miaka mingi akili zakuambiwa changanya na zakwako. Anaenda mbali nakuwauliza je mlitaka ajibuje mja kaonyesha nia ya 5 tena akiwa na cheo cha amiri jeshi mkuu na pili mwenyekiti wa chama katika hali kama hiyo anauliza mlitaka ajibuje kama sio kutumia falsafa ya akili za kuambiwa changanya na za kwako...
Yaani kama mwenyekiti angechanganya na za kwake angekataa ushauri wake na kufuwata katiba ila mara moja ushauri wake ulitolewa amri na wakaja na majina 2 wapewe 5 tena hehehehehe..
Kosa la Mkwere lipo wapi? Na kama mnaona amekosea je kwanini msijitoe muhanga kutetea katiba je msaliti nani JK au wajumbe? Heheheh
Yaani aibu sana ila ukiangalia Mwamba yupo sawa hana makosa tena ukirudi kwenye falsafa za baba wa Taifa anasema mtu mwenye akili akikwambia ushauri wakijinga na wewe ukaufuwata anakudharau silince plz..
Kwa wale mnamkubuka JK akiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano mnamkubuka kama mzee wa akili ya kuambiwa changanya na zako. Kiufupi kama watanzania na chama cha CCM wangesikiliza mashauri yake mengi na reforms alitamani kuzifanya na wakati mwingine tuka mnamga mtakubaliana na mimi Mwamba hataki kuyarudia matapishi.
Maana alipo sema tumtoe baraba ama tumsulubu Yesu mlipiga na tarumbeta mkisema asulubiwe na baraba aachiwe... mkaenda mbali na kusema dam yake iwe juu yetu na watoto wetu. Leo mnataka mtupia lawama kwanini alitoa ushauri wa jinsi ya kumpa 5 tena mama...
Kiukweli anatushangaa na kutung'ong'a maana anatukumbusha kauli yake ya miaka mingi akili zakuambiwa changanya na zakwako. Anaenda mbali nakuwauliza je mlitaka ajibuje mja kaonyesha nia ya 5 tena akiwa na cheo cha amiri jeshi mkuu na pili mwenyekiti wa chama katika hali kama hiyo anauliza mlitaka ajibuje kama sio kutumia falsafa ya akili za kuambiwa changanya na za kwako...
Yaani kama mwenyekiti angechanganya na za kwake angekataa ushauri wake na kufuwata katiba ila mara moja ushauri wake ulitolewa amri na wakaja na majina 2 wapewe 5 tena hehehehehe..
Kosa la Mkwere lipo wapi? Na kama mnaona amekosea je kwanini msijitoe muhanga kutetea katiba je msaliti nani JK au wajumbe? Heheheh
Yaani aibu sana ila ukiangalia Mwamba yupo sawa hana makosa tena ukirudi kwenye falsafa za baba wa Taifa anasema mtu mwenye akili akikwambia ushauri wakijinga na wewe ukaufuwata anakudharau silince plz..