Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,229
- 610
Kikao cha Kamati ya Utendaji cha Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kilichokaa Tarehe 06/09/2015 kilipanga tarehe ya Mkutano Mkuu wa TFF kuwa ni Disemba 19-20, 2015.
Ajenda za Mkutano zitakuwa ni kwa mujibu wa katiba ya TFF.
Ajenda za Mkutano zitakuwa ni kwa mujibu wa katiba ya TFF.