Mkutano mkuu wa Chadema ufanyike Ukumbi wa Polisi Kilwa road Kwa sababu za kiusalama. Pale Mlimani City kuna vitega Uchumi vurugu ni hatari!

Mkutano mkuu wa Chadema ufanyike Ukumbi wa Polisi Kilwa road Kwa sababu za kiusalama. Pale Mlimani City kuna vitega Uchumi vurugu ni hatari!

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu

Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa

Hatuna Bima ya Vurugu

Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Be Mwajoni mbatisaji yenanani yakulonje kuvaa kwina litata? Nani amekwambia kuwa kutakuwa na vulugu?
 
Ikiwezekana msajili wa vyama vya siasa asitishe mkutano huo Hadi hapo utakapo tangazwa Tena

Kuna viashiria vya vurugu na kuhsribu mali
 
Sawa mjomba angu Freeman Mbowe, tunalifanyia kazi.
 
Acha wauane tujue tabia zao kwamba hawafai kuongoza nchi.

Kuanzia leo kambi yangu itapigwa hapohapo Mlimani City
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu

Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa

Hatuna Bima ya Vurugu

Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Who are you?
 
Askari wetu Wana majukumu mengi ya MSINGI
Asande kwa kututetea blaza
IMG-20250115-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom