johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu
Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa
Hatuna Bima ya Vurugu
Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa
Hatuna Bima ya Vurugu
Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼