johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Be Mwajoni mbatisaji yenanani yakulonje kuvaa kwina litata? Nani amekwambia kuwa kutakuwa na vulugu?Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu
Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa
Hatuna Bima ya Vurugu
Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Mwakitwange umekuwa mtabiri!Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu
Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa
Hatuna Bima ya Vurugu
Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Hujasoma Waraka wa Chadema kupitia Mkurugenzi wao Yeriko Nyerere?🐼Be Mwajoni mbatisaji yenanani yakulonje kuvaa kwina litata? Nani amekwambia kuwa kutakuwa na vulugu?
Wakauwanie police wasitutie hasara Kwenye Pato la taifa 😂Acha wauane
Askari wetu Wana majukumu mengi ya MSINGITuna askari wa kutosha, hujui kuna hawa depo jipya..?
Who are you?Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu
Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa
Hatuna Bima ya Vurugu
Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Mwekezaji 🐼Who are you?
Mwekezaji wa vitindi vya ulanzi!Mwekezaji 🐼
Pamoja na kuhakikisha usalama wa raiaAskari wetu Wana majukumu mengi ya MSINGI
Huyo ndiye Juma Lokole wa JFWho are you?
Bamboo juice 🐼Mwekezaji wa vitindi vya ulanzi!
Kiboko Yako ni Yeriko Nyerere 🐼Huyo ndiye Juma Lokole wa JF
Asande kwa kututetea blazaAskari wetu Wana majukumu mengi ya MSINGI