Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
mama anatosha mpaka 2030Labda atokee mtu kumchallenge huyo Mama.
Ndio huo uzuzu wenu wananchi hawana habari tena na maigizo yenu.mama anatosha mpaka 2030
endeleeni kuota lkn mtaani raia mama anatosha mpaka 2030Ndio huo uzuzu wenu wananchi hawana habari tena na maigizo yenu.
Kwanini sasa hamtaki Tume HURU ili tuone kama ni kweli?!endeleeni kuota lkn mtaani raia mama anatosha mpaka 2030
tume iliyopo ni huru na haki..inatosha!Kwanini sasa hamtaki Tume HURU ili tuone kama ni kweli?!
Watanzania wanashauku na chaguzi za ndani za CHADEMA na ni gumzo Nchi nzima CCM na Mabango yenu kila kona lakini mumechakaa vibaya ππKikao cha ukoo....Macho ya Taifa kwa sasa ni Chadema!!!
Tume hii sio HURU ni ya Makada wa CCM.tume iliyopo ni huru na haki..inatosha!
Tume ni hurub mkuu na haki ndio maana upinzani mkishindwa hamuendagi mahakamani, mnaishia kulalamika mitandaoni tu!Tume hii sio HURU ni ya Makada wa CCM.
Mkuu chukua maua yako πππMkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi,agenda ziko mfukoni mwa mwenyekit.....π€£
Wanajua upungufu wakeKama CCM mnataka publicity ruhusuni watu wamchallenge Samia.
Kumbe wanamkutano na wao maana kila sehem ni machedema,Lissu ,Mbowe au PambaluLabda atokee mtu kumchallenge huyo Mama laasivyo mkutano utadorora sana.