Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndio habari ya nchi kwa sasa, na ndio maana kila pande ya Tanzania inausubirikwa hamu mkutano huu

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndio habari ya nchi kwa sasa, na ndio maana kila pande ya Tanzania inausubirikwa hamu mkutano huu.

Kila pande ya Tanzania macho na masikio yao yatakuwa jijini Dodoma, Ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete.

#kaziiendelee
#tunaendeleanamama
#MkutanowaCCM2025

Your browser is not able to display this video.
 
Kikao cha ukoo....Macho ya Taifa kwa sasa ni Chadema!!!
Watanzania wanashauku na chaguzi za ndani za CHADEMA na ni gumzo Nchi nzima CCM na Mabango yenu kila kona lakini mumechakaa vibaya πŸ˜†πŸ˜†
 
Kila pande ya Tanzania inafuatilia Chadema kusubiri Lissu atangazwe mshindi nchi ilipuke kwa furaha, mengine yatupishe kidogo.
 
Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi,agenda ziko mfukoni mwa mwenyekit.....🀣
 
Kama CCM mnataka publicity ruhusuni watu wamchallenge Samia.
 
Jina la mgombea umakamu mwenyekiti jina limo kwenye pochi ya Mwenyekit...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…