Umeandika nini sasa?Nimekua mshabiki wa simba kwa miaka mingi lakini kuanzia sasa..sitakaa niishabikie tena..pumbavu sana hawa viongozi wa hii club....imejaa ujinga na ubabaishaji..kila siku mambo mapya ya kipuuzi yanaibuka..no focus at all nonsense.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa,nimeshafika na mambo yanaendeleaAcha njaa wewee
Kuwa na sauti wakati mfukoni huna kitu hizo ni kelele zenye karaha tuu.Sijawahi kumwona mhindi akiendesha biashara yake Kwa hasara..... Simba ndo baibai... Nilikuwa nashangaa sana huu usajili hela inatoka wp? Ndo basi tena....Wanachama hamna sauti tena ndani ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha!Acha njaa wewee
Naunga mkono maneno yako Mkuu...... Mpira umebadilika zama hizi......mpira zama hizi ni pesa hao wazee wakiongozwa na mzee Kilomoni na Bi Hindu wanatia shs ngapi kuendeleza Club?Wana simba watafanya kosa kubwa kutokumoa MO club , hawa wanaojiita wazee wa simba na wanachama hawajui usajili unafanyika kwa pesa za nani, hawajui makocha na wachezaji wanalipwaje wao kutwa nzima ni kuleta fujo na vurugu pale timu inapofanya vibaya. Nilimsikia mzee Fulani cjui kolomoni anaongea utumbo tu. Wale ni wazee wasio na kazi kutwa nzima ukienda pale msimbazi au jangwani Asubuhi unawakuta wanazozana hawataki kifanya kazi. Acha Mo apewe timu nchi ipige hatua. Hata sana wanga waanze kufikiria kumpa Manji timu akimaliza matatizo yake. Wanachama uchwara wamepitwa na wakati
Sent using Jamii Forums mobile app
Only foodSafi nimeona kuna chakula na vinywaji hapo ngoja nijisogeze mdogo mdogo.
-Ndumilakuwili-
Sahihi kabisa! Sisi mashabiki tunataka matokeo mazuri uwanjani tu! Hizo figusifigusi nyingine hazituusu.Yanga washachelewa kwa Manji...bahati haiji Mara 2: Simba wakichemka hapa, wasitafute mchawi mbeleni. Washabiki wa timu zote duniani tunajali mafanikio ya timu uwanjani...ambako tunapata furaha sana. Suala la mwekezaji kupata faida kubwa ni yeye sio sisi. Kama kweli sisi tunatska raha tuachane na mawazo ya kizamani ya uanachama mfu...mm kuwa mwanachama ilihali siwezi kufanya lolote timu yangu iwe bora kuliko nyingine that's useless!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja!Kuwa na sauti wakati mfukoni huna kitu hizo ni kelele zenye karaha tuu.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Sisi tunahitaji ushindi na burdani hayo mengine ya kwakoSijawahi kumwona mhindi akiendesha biashara yake Kwa hasara..... Simba ndo baibai... Nilikuwa nashangaa sana huu usajili hela inatoka wp? Ndo basi tena....Wanachama hamna sauti tena ndani ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
hukumsikia siang'a!..ugomvi wake na mo mo alitaka zamalek wauziwe mechi,mkenya akadinda,matokeo yake akaenda kufundisha mtibwaAisee asidanganye mtu kuwa mfanyabiashara sio tatizo Wamiliki wa vilabu vyikubwa Duniani wote ni Wafanya biashara tena wakubwa sikatai MO kaona kuna tija katika hilo kwani kupitia ilo atatangaza vzr biashara yake, alafu ikumbukwe mwaka 2003 simba inaingia hatua ya makundi MO ndiye alisimamia show zote ikiwa ni pamoja na kuipeleka timu Oman kufuliwa na Talib Hilali tukafanikiwa kuwa galagaza Zamaleki ya Misri
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita dhidi ya ufisadi ni ngumu sana, Simba wamebana weeeeeee mwisho wameachia!Katika kuhakikisha wanafikia malengo yao, Klabu ya Simba SC imewataka wanachama wake kujitokeza kwa wingi katika mkutano mkuu wa mwaka utakaofanyika leo kuanzia saa 4:00 asubuhi kwenye Ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere.
Kaimu Makamu wa Rais wa Simba, Idd Kajuna, awali aliwahakikishia mwandishi wetu kuwepo kwa mkutano huo ambao licha ya malengo yake kuweka wazi, ni unaelezwa ni kwenda kupitisha uamuzi wa kumuuzia hisa mfadhili wa klabu hiyo Mohammed Dewji 'MO' awe mmiliki rasmi wa Simba.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara alinukuliwa jijini Dar es salaam jana akisema mkutano wa Jumapili (leo) upo pale pale kufuatia mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam kutupilia mbali ombi la mmoja wa wadhamini wa klabu hiyo, Hamisi Kilomoni kuzuia usifanyike.
"Tunawaomba wanachama kuhudhuria kwa wingi mkutano huo muhimu mahitaji yote yatapatika ikiwemo chakula na vinywaji".
"Uamuzi wa Mahakama ni ushindi mkubwa siyo tu kwa klabu, bali kwa mustakabali mzima wa maendeleo ya mchezo wa soka nchini", alisema Manara
MO anataka kuuziwa asilimia 51 ya hisa za klabu kwa Shs bilioni 20 na baada ya hapo atatumia bajeti ya Shs bilioni 5.5 kwa msimu kwa ajili ya Simba SC, ili kuifanya klabu hiyo kuwa ya kisasa ikiwemo kuujenga Uwanja wa Bunju.
Update
Mkutano mkuu wa Wanachama wa klabu ya Simba unaendelea hivi sasa katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere International Conference Center
Una akili sana!Ukweli ni kwamba Simba haipati chochote kwenye haya mauziano. Mo atatoa bilioni 20 ambazo zitaingizwa kwenye akaunti ya Simba kisha atakabidhiwa timu. Baada ya hapo yeye ndiye atakuwa na maamuzi ya mwisho kuhusu kila kitu ikiwa ni pamoja na matumizi ya hizo fedha. Atakuwa na hiari ya kubadili jina la timu au kuiuza na hakuna atakekuwa na mamlaka ya kuhoji. 'RIP' Simba Sc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mo ni mpya pale Simba?!!!!!!Refer moses katumbi na Tp mazembe,Abrahamovic na Chelsea,Mimi naona sawa,hata kama hawatakua na sauti kumbuka tangu club ianzishwe,ilikuwa mikononi mwao kipindi chote hiko na hakuna cha maana walichokifanya,wampe Mo dewji naye aonyeshe uwezo wake.