Mkutano Mkuu wa Klabu ya Simba SC, MO kupewa timu leo

Pia akiona mambo magumu anaweza akauza hisa zake kwa mwengine akapiga faida....Tuombe Mungu liende salama lisije kutokea la Arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss, naunga mkono hoja kwamba timu iendeshwe kisasa kibiashara, nisichokielewa ni kwamba, imekuwaje MO anapatiwa on silver plate, nilitegemea ifanywe tathmin (valuation) ijulikane Simba ina thamani gani, utengenezwe mchakato wa wazi wa kuuza hisa, tuwakaribishe wawekezaji ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kumwona mhindi akiendesha biashara yake Kwa hasara..... Simba ndo baibai... Nilikuwa nashangaa sana huu usajili hela inatoka wp? Ndo basi tena....Wanachama hamna sauti tena ndani ya club

Sent using Jamii Forums mobile app

Hao wanachama wanategemea kulishwa na Simba badala wao ndio wailishe timu.
 
Sijawahi kumwona mhindi akiendesha biashara yake Kwa hasara..... Simba ndo baibai... Nilikuwa nashangaa sana huu usajili hela inatoka wp? Ndo basi tena....Wanachama hamna sauti tena ndani ya club

Sent using Jamii Forums mobile app
Sauti zinasaidia nini? Wewe ndiyo wale wale tu, ujuzi wako ni kushangilia Timu na si uongozi wa Timu hivyo jitambue nafasi yako. Arsenal inaendeshwa vp? ?
 
Amka wewe povu la nini sasa? Hiyo miaka mingi ya ushabiki wako kuna faida gani mmeleta we na wenzako? Tunataka mabadiliko na washabiki wa aina yako hatutaki kuwaona yaani hamtakiwi hata na mfumo wenyewe. Nenda singida unt huko.
 
Sijawahi kumwona mhindi akiendesha biashara yake Kwa hasara..... Simba ndo baibai... Nilikuwa nashangaa sana huu usajili hela inatoka wp? Ndo basi tena....Wanachama hamna sauti tena ndani ya club

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sio wewe basi ndugu yako mirija imekatwa kwa namna alivyokuwa akijinufaisha mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unafaidikaje timu inapokuwa kwa viongozi wanachama?Tuanzie hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio rahisi kihivyo, anzisha shughuli nyingine za kukuingizia kipato mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja mo apewe team tu
 
mo na manji walishaambiwa watafute team zingine izi ni za wananchi wanahistoria nazo ngoja siku anageuziwa kibao hataamini macho yake atajikuta keko na yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…