CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Wamelisimamisha lile jamaaWalofa nyie,bara mmemuunga mkono JPM visiwani kwanini musimuunge mkono Mwinyi?
Walofa nyie,bara mmemuunga mkono JPM visiwani kwanini musimuunge mkono Mwinyi?
nyinyi mliyo mpitisha lowasa kisha mkawaminisha watu kuwa huyu ni msafi ilihali mlikwisha sema ni fisadi ndio wapinzan wa kweli ama kweli nyan haon kunduleCuf ipi hiyo unaizungumzia hapa?
Kwa ujinga wenu wenyewe mlisha ihujumu cuf yenye heshima na sifa ya kuwa chama cha upinzani.
Kwa tamaa zenu na Lipumba mlikubali kuiuza cuf sasa imebakia na jengo tu na bendera tu. Mwaka huu nawahakikishia kuwa hata diwani mmoja hamto mpata.
Hiyo ndiyo dawa ya wasaliti popote duniani.
nyinyi mliyo mpitisha lowasa kisha mkawaminisha watu kuwa huyu ni msafi ilihali mlikwisha sema ni fisadi ndio wapinzan wa kweli ama kweli nyan haon kundule
Lipumba anaangalia kama anachungulia
Kama kuna wasaliti wa taifa namba moja basi ni nyie, mtatumiwa na ccm mpk lini??
Eti wamempitisha na frofesa kugombea urahis wa muungano!!!!
Hawa Cuf n wakuwapiga mawe wakija hku kwnye kampen zao mshiiiiew[emoji57]
Eti bila aibu anataka awe rais wa nchiYaani kati ya wasaliti wakuu wa siasa za upinzani nchi hii basi ni cuf ya Lipumba
Eti bila aibu anataka awe rais wa nchi
Chagueni hvi leo mutakae mtumikia, kama ni ccm basi ungeni mkono juhudi mazima, la hasha kama ni wananchi basi tumikieni wananchi na muache kutanguliza tumbo mbele