Mkutano wa CCM ulijaa Vijembe, Mizaha, na Rushwa

Mkutano wa CCM ulijaa Vijembe, Mizaha, na Rushwa

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kwa mtazamo Wangu CCM wanahitaji kujitafakari pakubwa saaaana. Na kama Wana CCM hawataamka na kutetea Chama Cha Mambuzi, wataendelea kudharaulika.

Huwezi kuandaa mkutano wa mabilioni huku ukiacha mkutano huo utawaliwe na Vijembe, Mizaha na Rushwa. Je, mlienda Dodoma kusimangana?

Mnaanza kuchukua nafasi ya Mwenyezi MUNGU kuwa Samia hawezi kufa, au Kuna kitu mnataraji kukifanya Kwa Mwenyekiti wenu? Mnawaandaa Wana CCM kiakili?

Sawa, kama Mungu anadhihakiwa, tutaona

---
IMG-20221208-WA0061.jpg
IMG-20221208-WA0056.jpg
IMG-20221208-WA0041.jpg
IMG-20221208-WA0046.jpg
IMG-20221208-WA0044.jpg
IMG-20221208-WA0043.jpg
IMG-20221208-WA0045.jpg
 
Mwinyi alijiongeza akasema kuna kipindi anasahau mambo na si ajabu kuna kipindi anasahau kuwa amewahi kuwa RAIS...hivyo wasamehe Bure.
Mwinyi ni bonge la dude,
Yaani DUDE flani ivi ambalo halina baya
Hakika ni mynumber one fan kwake
Hana baya kama marioo.....hahahaha
 
Long live Makamba . You made my day for speaking the godly truth about the unspeakable dictator who ruined our country in all aspects
Hakika, Kuna siku watasema zaidi ya hayo
 
Back
Top Bottom