Pre GE2025 Mkutano wa CHADEMA Mikocheni umezuiliwa ila chawa wamekata keki feri karibu kabisa na Ikulu, hii tunaiitaje?

Pre GE2025 Mkutano wa CHADEMA Mikocheni umezuiliwa ila chawa wamekata keki feri karibu kabisa na Ikulu, hii tunaiitaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Polisi walivamia ofisi za CHADEMA mapema leo asubuhi na kuzuia mkutano huo kufanyika wakisema wataleta usumbufu wakati mkutano wa nishati unaendelea, na kwamba wanatakiwa kughairisha.

Mkutano ambao ungekuwa na waandishi wa habari tu kurusha tukio hilo, tena mbali kabisa na Posta ambako wageni hao wanapokelewa na mkutano kufanyika.

Wakati huo huo chawa wamefanya event pale feri karibu kabisa na Ikulu, wamekata keki ya mama na kugawa mitungi ya gesi kwa hapo feri!

Soma Pia: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Wao na CHADEMA nani angeweza kuleta vurugu kwenye mkutano huo?

Serikali/CCM imeogopa lingetoka tamko la kuwachoma wakaaibika mbele ya wageni wa kimataifa? Au waliogopa kufunikwa na mkutano wa CHADEMA?

Hii move inatoa ujumbe gani Wakuu?
 
Wakuu,

Polisi walivamia ofisi za CHADEMA mapema leo asubuhi na kuzuia mkutano huo kufanyika wakisema wataleta usumbufu wakati mkutano wa nishati unaendelea, na kwamba wanatakiwa kughairisha.

Mkutano ambao ungekuwa na waandishi wa habari tu kurusha tukio hilo, tena mbali kabisa na Posta ambako wageni hao wanapokelewa na mkutano kufanyika.

Wakati huo huo chawa wamefanya event pale feri karibu kabisa na Ikulu, wamekata keki ya mama na kugawa mitungi ya gesi kwa hapo feri!

Soma Pia: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Wao na CHADEMA nani angeweza kuleta vurugu kwenye mkutano huo?

Serikali/CCM imeogopa lingetoka tamko la kuwachoma wakaaibika mbele ya wageni wa kimataifa? Au waliogopa kufunikwa na mkutano wa CHADEMA?

Hii move inatoa ujumbe gani Wakuu?
Polisi hawa wanaelekea kuwa wahalifu.
 
CCM amefurahii mpaka gego!
IMG-20250127-WA0016.jpg
 
Wakuu,

Polisi walivamia ofisi za CHADEMA mapema leo asubuhi na kuzuia mkutano huo kufanyika wakisema wataleta usumbufu wakati mkutano wa nishati unaendelea, na kwamba wanatakiwa kughairisha.

Mkutano ambao ungekuwa na waandishi wa habari tu kurusha tukio hilo, tena mbali kabisa na Posta ambako wageni hao wanapokelewa na mkutano kufanyika.

Wakati huo huo chawa wamefanya event pale feri karibu kabisa na Ikulu, wamekata keki ya mama na kugawa mitungi ya gesi kwa hapo feri!

Soma Pia: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Wao na CHADEMA nani angeweza kuleta vurugu kwenye mkutano huo?

Serikali/CCM imeogopa lingetoka tamko la kuwachoma wakaaibika mbele ya wageni wa kimataifa? Au waliogopa kufunikwa na mkutano wa CHADEMA?

Hii move inatoa ujumbe gani Wakuu?
ccm ni waoga kama kunguru na wepesi kama tishu
 
Zi wasubir ata uhu mkutan mkuu upite wangetumia busara maana hapo tunajua chadema ilitaka kuvua watu nguo kisa wameona ugeni ata muwekezaji akisikia yanayo endelea kama alitaka kuwekeza anaacha
 
Kwani baa zimezuiwa Leo? Kama bar hazijazuiwa na hoteli hazijazuiwa, Kula na kunywa kumeruhusiwa, Kuna shida gani watu wakikutana na Kula keki?

By the way;
Kwanini CHADEMA wanapenda Sana kufanya matukio Yao wakati wa Matukio ya kitaifa au ya kimataifa yanapofanyika? Hii sio adabu, nikuleta migongano isiyo ya lazima!
 
Lissu aliingia madarakani kwa gia ya siasa za mapambano, aingie uwandani sasa tumnyoroshe
 
Wakuu,

Polisi walivamia ofisi za CHADEMA mapema leo asubuhi na kuzuia mkutano huo kufanyika wakisema wataleta usumbufu wakati mkutano wa nishati unaendelea, na kwamba wanatakiwa kughairisha.

Mkutano ambao ungekuwa na waandishi wa habari tu kurusha tukio hilo, tena mbali kabisa na Posta ambako wageni hao wanapokelewa na mkutano kufanyika.

Wakati huo huo chawa wamefanya event pale feri karibu kabisa na Ikulu, wamekata keki ya mama na kugawa mitungi ya gesi kwa hapo feri!

Soma Pia: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Wao na CHADEMA nani angeweza kuleta vurugu kwenye mkutano huo?

Serikali/CCM imeogopa lingetoka tamko la kuwachoma wakaaibika mbele ya wageni wa kimataifa? Au waliogopa kufunikwa na mkutano wa CHADEMA?

Hii move inatoa ujumbe gani Wakuu?
Yani CCM hawa
 
Mwenyekiti wa Chadema aliingia madarakani kwa ahadi ya siasa za mapambano, aje sasa, wazee wako malangoni mwake.
Yani jitu zima ndani ya chama kikubwa iabisa unafurahia kubebwa na polisi aibu hii
 
Wakuu,

Polisi walivamia ofisi za CHADEMA mapema leo asubuhi na kuzuia mkutano huo kufanyika wakisema wataleta usumbufu wakati mkutano wa nishati unaendelea, na kwamba wanatakiwa kughairisha.

Mkutano ambao ungekuwa na waandishi wa habari tu kurusha tukio hilo, tena mbali kabisa na Posta ambako wageni hao wanapokelewa na mkutano kufanyika.

Wakati huo huo chawa wamefanya event pale feri karibu kabisa na Ikulu, wamekata keki ya mama na kugawa mitungi ya gesi kwa hapo feri!

Soma Pia: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Wao na CHADEMA nani angeweza kuleta vurugu kwenye mkutano huo?

Serikali/CCM imeogopa lingetoka tamko la kuwachoma wakaaibika mbele ya wageni wa kimataifa? Au waliogopa kufunikwa na mkutano wa CHADEMA?

Hii move inatoa ujumbe gani Wakuu?
Wanasiasa wanatualibia sana jeshi la police , leo badala wafanye majukum yao wapo ofisi za Chadema ,hii aibu gani hii
 
Wakuu,

Polisi walivamia ofisi za CHADEMA mapema leo asubuhi na kuzuia mkutano huo kufanyika wakisema wataleta usumbufu wakati mkutano wa nishati unaendelea, na kwamba wanatakiwa kughairisha.

Mkutano ambao ungekuwa na waandishi wa habari tu kurusha tukio hilo, tena mbali kabisa na Posta ambako wageni hao wanapokelewa na mkutano kufanyika.

Wakati huo huo chawa wamefanya event pale feri karibu kabisa na Ikulu, wamekata keki ya mama na kugawa mitungi ya gesi kwa hapo feri!

Soma Pia: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Wao na CHADEMA nani angeweza kuleta vurugu kwenye mkutano huo?

Serikali/CCM imeogopa lingetoka tamko la kuwachoma wakaaibika mbele ya wageni wa kimataifa? Au waliogopa kufunikwa na mkutano wa CHADEMA?

Hii move inatoa ujumbe gani Wakuu?
Ukitaka kuijua hiyo soma kitabu kimoja kinaitwa "MFALME JUHA"
 
Kwani baa zimezuiwa Leo? Kama bar hazijazuiwa na hoteli hazijazuiwa, Kula na kunywa kumeruhusiwa, Kuna shida gani watu wakikutana na Kula keki?

By the way;
Kwanini CHADEMA wanapenda Sana kufanya matukio Yao wakati wa Matukio ya kitaifa au ya kimataifa yanapofanyika? Hii sio adabu, nikuleta migongano isiyo ya lazima!
CCM wakifanya ni sawa?
 
Kwa hiyo kuna wavuta ngada walitaka jambo lao ndio liwe kubwa kuliko mkutano wa nishati?Yani nchi Iko busy na mambo ya msingi then wavuta ngada nao wanandaa content et waende hewani😆kongole jeshi letu
 
Back
Top Bottom