Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,385
Amesema akiwa rais atahakikisha bei ya bati na cementi inachuka mpaka chini ya 5000 iliwatu waweze kujenga nyumba za kudumu, serikali yake haitakuwa na anasa kama ya ccm, na wafujaji wa mali za serikali hatacheka nao ni kuwakamata na kuwapeleka mahamani....