Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mtumishi mpakwa mafuta ya Bwana ambae Mungu amekuwa akimtumia kila sehemu pasipo kujali dini wala kabila atakuwa
akihubiri uwanja wa reli kuanzia tar 28 jan mpaka 5 feb
usikose baraka zako
Mungu akubariki
Yule mtumishi mpakwa mafuta ya bwana ambae mungu amekuwa akimtumia kila sehemu pasipo jai dini waala kabila atakuwa
akihubiri uwanja wa reli kuanzia tar 28jan mpaka 5feb
usikose baraka zako
mungu akubariki
vituko gani abednego?jamani tusidanganywe na watu hawa mnawaita wapakwa mafuta??huyu ni mwanadamu tu wa kawaida uliza vituko vyake pale peacock hotel anakofikia!!!!mwacheni mungu aitwe mungu!!!msiwaabudu hawa kina mwakasege,ngurumo ya upako na wengineo!
Yule mtumishi mpakwa mafuta ya bwana ambae mungu amekuwa akimtumia kila sehemu pasipo jai dini waala kabila atakuwa
akihubiri uwanja wa reli kuanzia tar 28jan mpaka 5feb
usikose baraka zako
mungu akubariki
shalom
Jamani tusidanganywe na watu hawa mnawaita wapakwa mafuta??Huyu ni mwanadamu tu wa kawaida uliza vituko vyake pale Peacock Hotel anakofikia!!!!Mwacheni Mungu aitwe MUNGU!!!Msiwaabudu hawa kina Mwakasege,Ngurumo ya Upako na wengineo!
Jamani tusidanganywe na watu hawa mnawaita wapakwa mafuta??Huyu ni mwanadamu tu wa kawaida uliza vituko vyake pale Peacock Hotel anakofikia!!!!Mwacheni Mungu aitwe MUNGU!!!Msiwaabudu hawa kina Mwakasege,Ngurumo ya Upako na wengineo!
may be huna unalolijua, but unajaribu kutafuta umaarufu katika JF nina imani hata mpakwa mafuta hujui nini? na ni naniJamani tusidanganywe na watu hawa mnawaita wapakwa mafuta??Huyu ni mwanadamu tu wa kawaida uliza vituko vyake pale Peacock Hotel anakofikia!!!!Mwacheni Mungu aitwe MUNGU!!!Msiwaabudu hawa kina Mwakasege,Ngurumo ya Upako na wengineo!
Tupe updates za mkutano wa mtumishi wa Mungu Mwakasege basi. Achana na wazushi hao. Wanatembea na laana period.may be huna unalolijua, but unajaribu kutafuta umaarufu katika JF nina imani hata mpakwa mafuta hujui nini? na ni nani
kwanza tambua kuwa hatujifunzi tabia zake bali ujunbe wa Mungu, Maana hata wazazi wako wangejua watakuzaa mtoto ka wewe, wangetamani sana wazae genge la nyanya liwasaidie maishani. Mambo ya anakofikia ya kwake yeye na maisha yake kwa kuwa mbinguni mtu hamwendei mwenzie, JIPANGE SAWA SAWA
Tupeni updates za yaliyojili kwenye semina mlioko huko make mwisho ni keshoTupe updates za mkutano wa mtumishi wa Mungu Mwakasege basi. Achana na wazushi hao. Wanatembea na laana period.