Elections 2010 Mkutano wa lala salama wa CHADEMA uko Igunga wafunika

lukolo ccm wanaiba kura we hujui...
Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.
 
Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Jamani iko LIVE hata sasa Clouds au umesha isha sasa ?Kama bado nienda LIVE na clouds nisikie kuna nani .Leo sitakubali kukosa habari kuona maneno ya mwisho.

Mungu wabariki Watanzania wa Igunga wajue umuhimu wa kumpata mwakili na uwalaani wale mashehe wali wanao leta fitina ili kuisaidia CCM.
 
Almighty god take care of the situation. We need peace and rightiousness
 
Mna maana wana Igunga wamemkimbia Mzee Mkapa? hebu leteni picha sisi wengine hatupendi majungu
 
kweli regina mwalekwa katiririka vibaya sana clouds anasema mkutano wa chadema funika bayaaa....
 
pamoja sana Mungu atuongoze maana hawa magamba wana mbinu nyingi za kuiba kura...
 

Tunashukuru kwa taarifa, huo ujumbe umefika mahari pake! Kesho tena endelea kutupa news, sikunjema!
 
Hali ya namna hii itawafanya magamba usiku wa leo wabebe mamluki kwenda kupiga kura.
 
Kila la wananchi wa Igunga.
 
Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.
Ni kweli kabisa vijana wengi hawajiandikisha, na hii inaweza kuwa nzuri kwa ccm!
 
Kaka Mwita Maranya, unajua kwamba " a drowning man will clutch a straw".
Huyo anayeleta poroja JF anatapatapa.
 
Mi nadhani tatizo kubwa watu huwa hawajiandikishi, au majina hayaonekani siku ya kura na hivyo watu kukosa haki yao ya kumchagua mwakilishi wao wanayemtaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…