Mkutano wa Marais: Tanzania tunashindwa kuandika neno la kiingereza "Extraordinary"

Mkutano wa Marais: Tanzania tunashindwa kuandika neno la kiingereza "Extraordinary"

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Japokuwa kujua kiingereza sio uthibitisho wa usomi, lakini ni aibu pale ambapo katika mkutano wa Maraisi kama uliofanyika pale Ngurudoto Arusha hakuna hata kiongozi wa serikali alieona kosa lililofanyika katika kuandika neno "extraordinary" na badala yake likaandikwa kama maneno mawili "Extra Ordinary".

Ndio maana Wakenya huwa wanatucheka na kiingereza chetu na tunawaogopa katika ushindani wa ajira. Huu ni uzembe mkubwa na ukihiyo wa waandamizi wa serikali.

View attachment Doc1.doc.docx



C:\DOCUME~1\stm\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\02\clip_image001.jpg
 
Acha kuwa mtumwa wa lugha za watu hata tukikosea sawa mbona Rais wa China alizungmza kichina unaweza kujua alikosea wapi?
 
Japokuwa kujua kiingereza sio uthibitisho wa usomi, lakini ni aibu pale ambapo katika mkutano wa Maraisi kama uliofanyika pale Ngurudoto Arusha hakuna hata kiongozi wa serikali alieona kosa lililofanyika katika kuandika neno "extraordinary" na badala yake likaandikwa kama maneno mawili "Extra Ordinary".

Ndio maana Wakenya huwa wanatucheka na kiingereza chetu na tunawaogopa katika ushindani wa ajira. Huu ni uzembe mkubwa na ukihiyo wa waandamizi wa serikali.

View attachment 91888



C:\DOCUME~1\stm\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\02\clip_image001.jpg

Mkuu, unajaribu kuzungumza na watu ambao wameshaamua kuwa makosa katika uandishi ni sehemu ya uandishi! Naona kuna mmoja amejaribu kusingizia eti ni ''kosa la uchapaji'' asijue kuwa hata hilo kosa la uchapaji hufanywa na mwanadamu na linaweza kurekebishwa hasa kwenye maudhui muhimu kama hayo. Tuko kwenye kizazi ambacho watu hawaoni kabisa kabisa umuhimu wa kuandika maneno kwa usahihi! Jaribu kusoma michango ya hapa JF utabaki unashangaa. Na simaanishi yale makosa ya bahati mbaya ambayo yanasameheka, nazungumzia makosa ya watu kutojua maneno yanavyoandikwa tena maneno rahisi kabisa ambayo ni sehemu ya maisha ya mtu anayetumia kiswahili. eg. askali (askari), marazi (maradhi), mahongezi (maongezi) etc. Nadhani ni matokeo ya watu kwenda shule ili washinde mitihani badala ya kwenda shule ili waelimike!
 
That's a joint word.

It's like faulting one for writing "kitega uchumi" instead of "kitegauchumi". This only shows a lack of understanding or disregard for the etymology.

Pedantic rubbish even for one with a penchant for pedantics.

Ukitaka kula nguruwe, chagua mnono.
 
Mkuu, unajaribu kuzungumza na watu ambao wameshaamua kuwa makosa katika uandishi ni sehemu ya uandishi! Naona kuna mmoja amejaribu kusingizia eti ni ''kosa la uchapaji'' asijue kuwa hata hilo kosa la uchapaji hufanywa na mwanadamu na linaweza kurekebishwa hasa kwenye maudhui muhimu kama hayo. Tuko kwenye kizazi ambacho watu hawaoni kabisa kabisa umuhimu wa kuandika maneno kwa usahihi! Jaribu kusoma michango ya hapa JF utabaki unashangaa. Na simaanishi yale makosa ya bahati mbaya ambayo yanasameheka, nazungumzia makosa ya watu kutojua maneno yanavyoandikwa tena maneno rahisi kabisa ambayo ni sehemu ya maisha ya mtu anayetumia kiswahili. eg. askali (askari), marazi (maradhi), mahongezi (maongezi) etc. Nadhani ni matokeo ya watu kwenda shule ili washinde mitihani badala ya kwenda shule ili waelimike!

I like that!!!! I thought I was the only one seeing that
 
Katika uandishi wowote ule ukizingatia kutofanya makosa madogomadogo ni dhahiri utakuwa mwandishi mahiri.
Kama ambavyo unadharau kwamba umefanya kosa dogo kwa kuandika "uhongo" badala ya uongo, lakini hatimaye
ukipewa nafasi ya kuandika aya tano, humo ndani makosa yataongezeka: Zarau, hakili, kwa zati, lafiki n.k!
 
Japokuwa kujua kiingereza sio uthibitisho wa usomi, lakini ni aibu pale ambapo katika mkutano wa Maraisi kama uliofanyika pale Ngurudoto Arusha hakuna hata kiongozi wa serikali alieona kosa lililofanyika katika kuandika neno "extraordinary" na badala yake likaandikwa kama maneno mawili "Extra Ordinary".

Ndio maana Wakenya huwa wanatucheka na kiingereza chetu na tunawaogopa katika ushindani wa ajira. Huu ni uzembe mkubwa na ukihiyo wa waandamizi wa serikali.

View attachment 91888



C:\DOCUME~1\stm\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\02\clip_image001.jpg



Bora umeomgea wewe, tungeongea sie wengine habari zetu zingefikishwa mpaka Ikulu na kwa Kinana. Hii ndiyo Tanzania where vihiyo rule this amazing country na wasomi wanakimbilia nje kwani wakija nyumbani kuikomboa nchi wanapigwa majungu na kumwagiwa tindi kali usoni.
 
Japokuwa kujua kiingereza sio uthibitisho wa usomi, lakini ni aibu pale ambapo katika mkutano wa Maraisi kama uliofanyika pale Ngurudoto Arusha hakuna hata kiongozi wa serikali alieona kosa lililofanyika katika kuandika neno "extraordinary" na badala yake likaandikwa kama maneno mawili "Extra Ordinary".

Ndio maana Wakenya huwa wanatucheka na kiingereza chetu na tunawaogopa katika ushindani wa ajira. Huu ni uzembe mkubwa na ukihiyo wa waandamizi wa serikali.

View attachment 91888



C:\DOCUME~1\stm\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\02\clip_image001.jpg

Ni makosa ya kiuchapaji tu, isikufanye kuanza kudharau utaifa wako na kuabudu utaifa wa Kenya. Makosa ni kama hayo uliyoyaandika wewe mwenyewe ambayo si kiswahili sanifu, angalia kwenye red:

Japokuwa kiswahili sanifu ni Ijapokuwa
Sio.............................>> Siyo
Maraisi.......................>> Marais
Alieona.......................>> Aliyeona
Ndio...........................>> Ndiyo

Haya si makosa ya uchapaji bali makosa ya kisarufi
 
From google translator
Extra Ordinary = Kinga ya ziada ya kawaida
Extraordinary = ajabu

Mimi sijui lugha saana.
 
Makosa ya kawaida sema waandushi makini wakati mwingine

Hawa vilaza hata hawaoni taabu kwani mkulu wao amezoea mambo kama hayo kwani huwa anapokea hata cheque zisizo sahihi; kwavile sasa wamezoea kufanya makosa ,imekuwa kwao wao kama kawaida!!
 
Back
Top Bottom