kiamangwana
Senior Member
- Feb 28, 2015
- 175
- 89
Najaribu kuulizia tu,inasemekana simba ina wanachama takribani 5000 sasa katika mkutano wa leo waliohudhuria ni 1200,je mpaka hapo akidi ilitimia?kama haijatimia maamuzi ya leo ni halali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app