Mkutano wa Simba akidi ilitimia?

Mkutano wa Simba akidi ilitimia?

Tunaomba Manara uje ufafanue , hapa nilipo nina katiba ya simba mkononi .
 
Acheni uchochezi...kama una dhamira nzuri,utapenda twende tulikokusudia.
Kama una dhamira ovu, subiri utatoka tu...!

The Great Gatsby
 
Najaribu kuulizia tu,inasemekana simba ina wanachama takribani 5000 sasa katika mkutano wa leo waliohudhuria ni 1200,je mpaka hapo akidi ilitimia?kama haijatimia maamuzi ya leo ni halali?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tukumbushane tu huu ni mkutano wa mwisho wanachama wana sauti
Mkutano ujao utakuwa wa wanahisa

Mna helaa!!!??

Hisa moja shilingi ngapi???
 
Una akili kichwani?? Sasa 1200 ni 1/3 ya 5000??? kama 1/3 ni 1200 basi namba kamili itakuwa 3600.. ss je akidi imetimia kwa idadi hiyo ya 1200 kwa wanachama 5000??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una akili kichwani?? Sasa 1200 ni 1/3 ya 5000??? kama 1/3 ni 1200 basi namba kamili itakuwa 3600.. ss je akidi imetimia kwa idadi hiyo ya 1200 kwa wanachama 5000??

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa kimya kwenye hili sakata la Mzee Kilomoni na Uongozi uliopo madarakani kuhusu mabadiliko ya katiba ya Simba.
Naona uzalendo umenishinda kwani ninavyoelewa ni kwamba viongozi waliokuwepo madarakani hivi sasa, wengi wanakaimu nafasi hizo[Mwenyekiti na Katibu] Ninavyofahamu mimi ni kwamba kazi yao kubwa kwa kipindi hiki ni kuongoza klabu hadi hatma ya viongozi halali itakapo julikan. Hivi kisheria, viongozi hawa wanaruhusiwa kufanya mabadiliko makubwa ya katiba.
Uzii huu ningependa usiwe wa kinazi bali ingependeza sana wataalamu wakatusaidia kwenye hili maana sidhani kama wale wadhamini[trustees] ni wendawazimu.
 
Back
Top Bottom