Njimba Nsalilwe
JF-Expert Member
- Mar 23, 2008
- 252
- 3
Kwani mkutano unafanyika asubuhi au jioni?nina imani atafunika kwa kuwa ni mtu wa watu!!
Sisi tuko Zambia tunasubiria train ili tuje kumuona na kupiga kura. Tumeacha biashara ili tuakikishe Dr. Wakweli anashida. Mbarikiwe
Sisi tuko Zambia tunasubiria train ili tuje kumuona na kupiga kura. Tumeacha biashara ili tuakikishe Dr. Wakweli anashida. Mbarikiwe
Karibu Mbeya mkuu tuikomboe nchi yetu!Sisi tuko Zambia tunasubiria train ili tuje kumuona na kupiga kura. Tumeacha biashara ili tuakikishe Dr. Wakweli anashida. Mbarikiwe
ITV hawaonyeshi tena kuna thread uchaguzi 2010 kuwa KINANA tayari kaingia ITV na kuwaambia wajiunge TBC-Tido kuwaonyesha ma-celebrity wa CCM.Ukombozi unakuja chagua Chadema.